Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooh
Hatari sana, kweli wanaume wa kuanzia 34+ ndio wamechemka kwa u polygamy..

Na wale wa 36-42 ndio shindikanaa kwenye u polygamy

Kwa case yako kuna mawili, moja re build hiyo ndoa, ifufueni. Ifanyieni masham sham ya kila dizaini irudi kuwa mpya.

Pili njoo huku nje kina Coca wakufanye hamna
Nimesha i update lakini wapii, mwanamme anaona bora akaombe maombi kuliko kumpeti mume wake!
 
Binafsi nilijichanganya nikaoa chini ya miaka 20, sasa na karibu miaka 15 kwenye ndoa, mwenzangu yeye na watoto tu, mimi hata pole sipewi, gemu napewa kwa nadra sana yaani sana, na mimi damu ndio kama vile ndio imeanza kuchemka, nikitafuta pa kuponea nakutana na maoni kama ya wakina Heaven Sent daaaah!
Kheeeh ulioa chini ya 20? Wee mbna ni noomaaah
 
Samaki wa Nyasa tafadhali
Utawaweza mbufu?
FB_IMG_16479527058011472.jpg
 
Ooh
Hatari sana, kweli wanaume wa kuanzia 34+ ndio wamechemka kwa u polygamy..

Na wale wa 36-42 ndio shindikanaa kwenye u polygamy

Kwa case yako kuna mawili, moja re build hiyo ndoa, ifufueni. Ifanyieni masham sham ya kila dizaini irudi kuwa mpya.

Pili njoo huku nje kina Coca wakufanye hamna
ko mie ndo gold digger? Aaaaaah jaman dhambi hizi uwiiiiih.
 
Nimesha i update lakini wapii, mwanamme anaona bora akaombe maombi kuliko kumpeti mume wake!
Hiyo ndiyo zile mtu asubuhi anaenda ofisini anatoka jioni, jioni kanisani kwa nabii Abiud mpaka saa 4 usiku anarudi home. Kesho tena circle inaendelea.

Hapo sitaki kuingilia imani ya mtu 🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️
 
Ooh
Hatari sana, kweli wanaume wa kuanzia 34+ ndio wamechemka kwa u polygamy..

Na wale wa 36-42 ndio shindikanaa kwenye u polygamy

Kwa case yako kuna mawili, moja re build hiyo ndoa, ifufueni. Ifanyieni masham sham ya kila dizaini irudi kuwa mpya.

Pili njoo huku nje kina Coca wakufanye hamna 🤣🤣
Me nashauri afate hiyo 1st option, aboreshe ndoa + amhudumie mkewe vema mbona atashine tu kila saa atakua na hamu nae.
 
Back
Top Bottom