cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Na hii nimekosa tena😭😭😭Babeq
Hatari na nusu na robo na robo tatu
Bado za like guuu
Na kiuno![]()
Did i miss something?mahondaw shouzzzzzzzz sio kwahilo wee ni mkareee,
Aiseeeeeh watu watakojoa damu, bila hata maandalizi, weuweeeeeh

Leo nipo Maziwa hapa, njoo unywe kidogoLocation sasa babuuuh.
Wifi zake wengi ni pasua kichwa...Hata mavazi yao hayana hata chembe ya u-Abiud kama yeye![]()






Blaza Pep anasemaga pisi kaliAbiud Misholi tupa kuleee...
Una umbo matata sana yaani. Ukija kunenepa kidogo tu itabidi muwe mnaongozana na kamanda Pep kila uendako kwa sababu miruzi na kadhia zitakuandama sana. Si kwa umbo la mkatiko hili wallahi!!!
Bosi ledi umeona hili umbo?




Did i miss something?![]()



mie nliishia la 6 C nawee sijaelewa. Soon tyuuh hapo.Leo nipo Maziwa hapa, njoo unywe kidogo
Baada ya kuona picha ya Jioni hii, nimegundua kwanini kwenye geti la nyumbani kwako wameandika "Mbwa Mkali" na upande wa Chini wameandika "Hatuuzi Barafu"🙈🏃🏃🏃🏃coca niache mie nimelala ujuehahaa!!
KabisaUpambe haukufai Pendael naomba waachie kina Anne pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!!!






PoaSoon tyuuh hapo.
NakujaMwambie Wige me natupia kila kitu
Bwana Asifiwe aunt Zumaridi![]()
Hiyo out yako ukinitoa hutaamini nakuja na gauni la marinda la Kwa MwakisweleloHaya sasa ndo mapigo na swaggzz, ukivaa hivi nakutoa out mie,
Cheki toto la kinyaki hilo, sema. AMEEEEEN!!
hallelujah, weuweeeeeeh.![]()
Jmn mi ndo hata moja sijaona au ume deleteHahhaaaaaa...leo nimemaliza msukuma hujaridhika???


Mbona nzuriiiSaint Anne chap kwa haraka zingatia hizo kucha View attachment 2160922
🤣🤣🤣😂😂 mbavu zangu mkuu hahahaaa!!Baada ya kuona picha ya Jioni hii, nimegundua kwanini kwenye geti la nyumbani kwako wameandika "Mbwa Mkali" na upande wa Chini wameandika "Hatuuzi Barafu"🙈🏃🏃🏃🏃