Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Unaniamsha na habari zako za kukojoa!🤭🤭🤭🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️sasa mie nimefanyaje tena shouz uwiiiiih
Unaniamsha na habari zako za kukojoa!🤭🤭🤭🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️sasa mie nimefanyaje tena shouz uwiiiiih
Mama kayai,upo vizuri yaan umenirudisha kuleee.Saint Anne chap kwa haraka zingatia hizo kucha View attachment 2160922
Kumbe nawe wamoKidogo JD

Naona jua ni Kali sana hapa DSM, naomba niruhusu nije kununua Barafu walau nipoze joto hili🙈🤣🤣🤣😂😂 mbavu zangu mkuu hahahaaa!!
Hatari sanaSaint Anne chap kwa haraka zingatia hizo kucha View attachment 2160922







Labda kama kile kishundu unachokitupiaga humu siyo chako. Hupati hata senti moja!



Ameen



Si hapo sasa nilifuga kiasi 🤣🤣🤣Hatari sana
Natamani ningekuwa nazo nzuri hivyo
Tatizo ulinihujumu zile vocha.Na hii nimekosa tena
Leo nina mkosi gani mimi

Kwamba wanatudanganya na vitenge vyetu?Mna dhambi nyie
Si ni nyie mnanisifiaga humu na vitenge au siyo nyie![]()
Nimekurudisha wapi?Mama kayai,upo vizuri yaan umenirudisha kuleee.
Ndiyo nimeambulia tagTena nilikutag wewe tu!!
Pitia kaunta hapo uchukue vinywaji vyako nilishalipia🤪Tayari.![]()
Aisee kesho nikumbushe mida ya saa 5




hivi unajua hauko serious wee?Kazi ninayo fanya muda mwingi kucha ziko wazi 🤣 yan ile zinaonekana kwa watuUnapenda kucha eeh?
Ngoja nimwite CarihaNilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini kabisa hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...
Kwa kifupi hakuna...
Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!
Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki![]()
Nasahau student mambo mengihivi unajua hauko serious wee?
Traako nehiKwamba wa kaskazini tumewakosea nini?
Ooh pole, lkn ziko vzr mbonaKazi ninayo fanya muda mwingi kucha ziko waziyan ile zinaonekana kwa watu
Sasa ni changamoto zikiwa vibubutu