Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,040
AhsanteMarahaba....
Naomba nikutumie hela
Ninazo zitosha š
AhsanteMarahaba....
Naomba nikutumie hela
wee nimekwambia uchague umezingua nishalala mie!Kama kawaida yake
Nimesikia simu inatetemeka,nikajua tu tayari boss ledi ameshusha kitu.
Binti ambaye kwao kuna watu wazimaš¤£Halafu ni wifi yetu.nimepiga na mruzi kama subaru
Kaka alijua kuchagua..hakuchagua watoto walioshindikana kwao.
Alichagua dada mzuri anayeendana na wifi zake
Ongezea moja basi. Moja tu...halafu uende zako kwenye majukumu ya umama kwa amani!Hahhaaaaaa...leo nimemaliza msukuma hujaridhika???
Ulitisha sanaaa mdada




KabisaBinti ambaye kwao kuna watu wazima![]()
Inakuja ma mtumishi usiwaze!!Boss lady nimeonaaaaaaa . Hivi Ile Blazer yangu inakuja au?
Hiyo huko ni yechu yechuKwamba
Oyah mambo ni gani?
Oya niaje, freshi ni vipi?
Oi mamiloo
Natumiaga sana na wale wajuba wa mtaa ule.. ni wajuba wa kikeni
Ile inavyokukaa fresh boss lediInakuja ma mtumishi usiwaze!!
Wifi zake wengi ni pasua kichwa...Hata mavazi yao hayana hata chembe ya u-Abiud kama yeyeHalafu ni wifi yetu.nimepiga na mruzi kama subaru
Kaka alijua kuchagua..hakuchagua watoto walioshindikana kwao.
Alichagua dada mzuri anayeendana na wifi zake






Ahsante boss lady. NakuaminiaaaaInakuja ma mtumishi usiwaze!!
Kaone kinacho kuchekesha hasa kitu ganiš¬
Wewe kwenu hakuna wakubwa, umeshindikanaš¤£š¤£šš¤£š¤£šKwahiyo sie wa hivi š¤£š¤£View attachment 2160869
Haikatai papilox š¹Hiyo huko ni yechu yechu
Mamsi
Dah huyo mwizi noma
Anatoa funguo kwenye holder??
Alikuwa anakujua huyo
Hata aliyeiba leo nahisi anatujua.
Mwee ifike muda hizi kucha ikatike hata moja ili nizikate.






Dah boss lediwee nimekwambia uchague umezingua nishalala mie!

š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£ yote kheriWewe kwenu hakuna wakubwa, umeshindikanaš¤£š¤£šš¤£š¤£š