Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpendwa 🙄we mbona kama Nuru niliwahi kukwambia sura yako si ngeni
Hapana

Labda tu nimfananie, afu sasa mbona mie nitakuwa nafanana na watu wengi!!!

Shule nilifanana na mtu mpaka utwin ukaanza.

Chuo the same, mpaka sahivi bado utwin wetu unaishi.

Mtaani now nafanana na secretary wa NGO flani.

Khaaa jamani 🤣😂
 
Back
Top Bottom