Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeona hizi picha, nimekumbuka msemo wa Shimba Ya Buyenze kuwa "Ogopa Matapeli hakuna Mnyaki asiye na Chura"

Hakika Mungu fundi
Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini kabisa hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...

Kwa kifupi hakuna...

Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!

Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki
 
Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...

Kwa kifupi hakuna...

Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!

Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki
Kwamba wa kaskazini tumewakosea nini?
 
Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...

Kwa kifupi hakuna...

Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!

Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki
Naomba hiyo laki. Mimi sina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishatoa laki moja keshi. Mtu ye yote anitafutie binti wa Kinyaki flati skrini hana hata kishundu kabisa cha kubingirika. Naona nitaishia kuila tu hii hela...

Kwa kifupi hakuna...

Imagine Mtakatifu aachane na magauni na masketi yake ya Ki-Abiudi weh!

Wakati wa uumbaji Mungu Aliindoka na udongo wake kutoka mikoa ya Kaskazini na kwenda kuumalizia wote huko kwa Wanyaki
Kwamba wa kaskazini tumewakosea nini?
 
Back
Top Bottom