Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Jisikie upo nyumbaniAsante sana
Kanisa mama mtumishi nipo hapa
Jisikie upo nyumbaniAsante sana
Kanisa mama mtumishi nipo hapa
Geukaaaa🔥🔥🔥Mkiniambia nigeuke mbele nageuka! Semeni jingine
Kidogo tu siku mojamojamna gubu
GeukaaaaMkiniambia nigeuke mbele nageuka! Semeni jingine
🤣🤣🤣🤣🤣Ewaaa.. katrakoo safii.. ndio pigo hiziii.. sio unavaaa kama sister wa huruma.. mambo kama haya vijana wakaone wapi.. fahari ya machoo 😎😎
Nimekosa hii, dahUwiii🔥🔥🔥🔥
Nimegee traaako dada
Upambe haukufai Pendael naomba waachie kina Anne pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!!!Mungu amekupendelea sana, yaani sana.
Zumaridi douta ameanza kujitia ndimu 🤣
Geuka tu Bosi Ledi. Unaishi katika nchi huru. Hata ubinuke sarakasi sawa tu mamakeMkiniambia nigeuke mbele nageuka! Semeni jingine



Heee kulikoniHizo picha zote hazifunguki dear
Haya sasa ndo mapigo na swaggzz, ukivaa hivi nakutoa out mie,Mama alisema hutuoni wakubwa?
Sijawahi vaa toka nimenunua,lipo kwenye begiView attachment 2160880View attachment 2160882View attachment 2160883




acha basi.. binti mzuri mdogo mdogo kama hivi lazima vijana tuone tako, kifua shape.. tupate changamoto.. sio kama unaenda kuzika mtu wa covid.. katrakoo kazuri kakushika.. acha vijana wapate changamoto 😉😉😉🤣🤣🤣🤣🤣
Hizi pigo naenda nazo wapi?
Za kulalia usiku.
Mchana tutapambana na magauni ya mama Abiudi🤣
Yeah na Mimi nilijaribu hazifungukiHeee kulikoni
Ngoja nione
Hahahaaa.... mie roboti lenu sina tabu nanyie nageuka tu!!!!Geukaaaa
Huko mbele unataka uone nini?
Nani huyo tena jamani?
Mwambie kaka ni sisi ndugu zake tunaomba.


sawa ujumbe umefikaHapana
Labda tu nimfananie, afu sasa mbona mie nitakuwa nafanana na watu wengi!!!
Shule nilifanana na mtu mpaka utwin ukaanza.
Chuo the same, mpaka sahivi bado utwin wetu unaishi.
Mtaani now nafanana na secretary wa NGO flani.
Khaaa jamani![]()




bas kat ya hao watu, ndo anakufananisha naye.