Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nakazia.Siyo upambe Boss Lady. Mama wa watoto wawili kuwa na umbo mkatiko kama lako ni muujiza mkubwa sana
Nifanyie kakitu niondoke kwa amani Bosi Ledi!!!
Hiyo wala sikuiona...dah!Una kiuno cha nyigu hata changu hakioni ndani.
Ile picha ya jana irudiwe aiseee
Kama Umeshushwa hivi toka Zebaki
Unawakawaka boss ledi![]()
Sina picha mpya msukuma!! Ngoja niangalie labdaSiyo upambe Boss Lady. Mama wa watoto wawili kuwa na umbo mkatiko kama lako ni muujiza mkubwa sana
Nifanyie kakitu niondoke kwa amani Bosi Ledi!!!
Yaani nilivyokuona boss ledi nimesitisha shughuli zote..Anne hizo fujo ujue!

Anaza Malaika in da hausi. Ai wishi ai kuuldu bi yang ageini


Mguuu safii
🙄🙄🙄 umefuta sijaona jirani
Mambo si ndo hayo sasa. Na ile ya jana ya guu inayosifiwa na Mtakatifu Anna. Mi sikuiona!Sina picha mpya msukuma!! Ngoja niangalie labda
Nakudai vitu vingi sana. Tutamalizana usiku wa mananeUsiku mnene ndo kibali kinatoka...
Saa hii utapata selfie ya majengo tuu.






Usiku mnene.. eeeh.. nakuwa nashughulika jirani... kazi ni moja tu.. nimeisha kosa hiyoUsiku mnene ndo kibali kinatoka...😁😁
Saa hii utapata selfie ya majengo tuu 😊.
Nguo yake nzuuri ile gauniHiyo wala sikuiona...dah!
Bila shaka itakuwa ni Bosi Ledi katika ubora wake - aking'ara kama jua la asubuhi lililojaa dhahabu ghali katika ncha zake zenye joto burudishi...Nani kama Bosi Lediiiii?
Irudiweeeeee !!!
Ngoja tumsubiri...Nguo yake nzuuri ile gauni
Umbo lake 8 linaonekana mubashara..
Tena ile nane kipande cha chini kimezidi cha juu
Imekaa mubashara
Najua ataweka tu
Nakudai vitu vingi sana. Tutamalizana usiku wa manane![]()
Kama vile wanawakeOya si wanasemaga Wanaume hawaambianagi "mambo vipi" au



Uzuri wakeNgoja tumsubiri...
Hizo picha zote hazifunguki dearOkay
Ngoja nikupe nyingine km utapenda style ila ni kwa juu tu! Chini vyovyote utakavyoona ww
View attachment 2160804View attachment 2160806
Oya niajeKama vile wanawake
Wasivyoweza kusema
Oya![]()
Mwenye uziComment 16 elf mia sita na....Uzi huu umetisha

Jana umeselfika sana...na sikuona hata moja. That's just unacceptable. Jiandae zote kuzirudia leo usiku wa manane...ama hapa au kwa Kassim MajaliwaTaja kimoja vingine umalizie usiku mnene...
Ili nijue niongeze saizi ya sufuria ya ugali au barbakyuu pekee itatosha.



