Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
OhKaribu dear
Hapo mbele kabisa ni mikanda miwili mirefu ambayo unaifunga unavyotaka!
Naomba ukipata muda upige likiwa bila mkanda niangalie upana wa kiuno
OhKaribu dear
Hapo mbele kabisa ni mikanda miwili mirefu ambayo unaifunga unavyotaka!
Mguu wa bia, rangi ya chocolate,mwili unapokea nguo vizuri,shavu dimpoziii,sura mashaalaah,akichekaaa.....
TumogheleeeOhooo kumbe nina wifi jmn
Mbeya mojaaa![]()



Ughonie kalumbubora mambo vp...kuliko kidume kinakutext 'mambo'...aarghghg![]()
Myd leo sina usingizi wa mapema😃Mpenzi 😘😘.. nenda kalale
Hizi emoj nani alizileta huku jf
Kwa kweli hatutendei haki wallah

kwannKweli nilipitwa,asanteOkay ni simple kama vile unafuta comment yoyote humu ndani .
Highlight comment yako yenye picha then hizo signs hapo juu moja ni ya kushare nyingine hiyo niliyowekea arrow ndo ya kufuta au edit .
Click hapo utadelete picha yako .View attachment 2160347
Akicheka ana pengo 🤣🤣Mguu wa bia, rangi ya chocolate,mwili unapokea nguo vizuri,shavu dimpoziii,sura mashaalaah,akichekaaa.....
Depal salamu zikufikie.
Halafu hujanitendea hakiUnyweleeee![]()
Hahahaaaaa!! Nakusalimia katika jina la Selfika msukuma 😜😘
MweeehNitaftie sasa
kweli 😒Myd leo sina usingizi wa mapema😃
Ooh haya dearKweli nilipitwa,asante
JamaniiiiTumogheleee
Kumbe kaka yetu ameopoa chombo
Wifi tutakuwa tunakusalimia kutwa mara 6.
Una wifi mwingine ambaye ni Heaven Sent



wanyakyusa nimewaelewaIla nikioga tu utakujakweli 😒
Sawa dearOh
Naomba ukipata muda upige likiwa bila mkanda niangalie upana wa kiuno
Shingooo


Mbona tuzuri sana
😊😊😊😊😊Ila nikioga tu utakuja
Nina hakika… hapa bado nina shughuli mbili tatu