Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio maana kumbe

Usinikumbushe Sakina mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake?

Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha..
Chaaaaah!
Alichana mkeka
Ufunguo?
Mwizi akiiba funguo umekwisha..ndio ile mbuzi amefia kwa muuza bucha
 
Back
Top Bottom