Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio maana kumbe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usinikumbushe Sakina [emoji1787] mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake?

Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha..
Chaaaaah![emoji23]
Alichana mkeka[emoji119][emoji119]
Ufunguo?
Mwizi akiiba funguo umekwisha..ndio ile mbuzi amefia kwa muuza bucha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono
Watu wamejificha[emoji1787][emoji1787]watoto wa kike ni matatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huwa naogopa sana wezi. Nashukuru napoishi kuna mlinzi, huwa tunamlipa hela kwa mwezi.
Mlinzi my foot
🤣🤣🤣 haya mambo ni usiombe.

Ofisini kuna mlinzi tena wa kampuni, kuna cctv na bado wajuba walituingilia.

Huo wizi uliachaga rumors sana
 
Back
Top Bottom