Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio maana kumbe 🤣🤣🤣

Usinikumbushe Sakina 🤣 mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake?

Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha..
Huyo kiboko. Mngekuwa roommates sasa
 
Ndio maana kumbe

Usinikumbushe Sakina mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake?

Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha..
mie huwa naogopa sana wezi. Nashukuru napoishi kuna mlinzi, huwa tunamlipa hela kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom