Unatafuta kutolewa utumbo we.Ah wapi mimi napambana naye kishujaa![]()




Samahani mkuuMjep fanya basi ata vocha pm ipo wazi mkuu
Hata kiganjani sijaiUnatafuta kutolewa utumbo we.![]()

Kwakweli mmebaki wachache sanaOoh thanks ..
Ulikuwa na swagger hivi
watoto tupo wachache humu![]()
mbavu zangu mie lol.

Njoo nikukuze haraka haraka
Ngoja tukue hapa
Jirani mwingine wamepasua vioo..alilock..wamebeba tv
Hivi hujiulizi wamepasuaje hadi kubeba tv hashtuki tu!
Wana dawa+ mvua ya leo




ndo home waliiba TV, laptop, cm afu sebulen. Nipe kazi ya ulinzi kwako

Hata kiganjani sijai
Nasikia wanakuwaga na viwembe




usinikumbushe utoto wangu, nlimchana mtoto wa watu viwembe, ucharuko bhana daaah.hahahaha anayekueka busy ndo msalimieNdo ukweli huo.
Nimsalimie nani kipenzi?
Nauliza tu swali boss wanguKuna tatizo
Duuuh wee mlongo, mbna unakosa mambo matamu mnoo. HahahahMmmmmh. Hapana siuwezi, nimewahi kuula mara moja tu,,vile sukari sukari ya mahindi hapana
Bora hayo mahindi niyachemshe
Vocha zinakuja hapa hapa mkuuMjep fanya basi ata vocha pm ipo wazi mkuu
mkuu hy kwa ajiri yako