Vocha itakufikia mchana ama jioni boss wangu hakikisha hukosi hapaVocha jomoneee![]()
na usisahau kuselfika mamaa ya mizagamuo
Vocha itakufikia mchana ama jioni boss wangu hakikisha hukosi hapaVocha jomoneee![]()
Naahidi sitawaangusha.Ooh Asante , uwe unapita kutusalimia huku.
Mabinti Abiud 🤣🤣🤣🤣Mabinti Abiudi
Nafurahije kuona wanaongezeka
usiwaangushe warembo mkuu,jaribu kuwatendea hakiNaahidi sitawaangusha.
Me mwenyewe naona kabisa sijitendei haki.
Nakupata mkuuusiwaangushe warembo mkuu,jaribu kuwatendea haki
hahahahaNakupata mkuu
Nakutumia salamu zangu nyingi sana
Halafu mimi na wewe tuna deni fulaniOoh Asante , uwe unapita kutusalimia huku.
akulipeHalafu mimi na wewe tuna deni fulani
Siku nikiamka na akili za jana yake nitakuja mpaka sebuleni kwako.
Gauni panaAsante dear
Nimeona lavender mmeielewa ....
Ukiona mbele ndo utaipenda! Ila ni ya church tu...
Mi napenda kudesign mwenyewe ila sijui kushonakwahiyo nikipata styl nampa fundi ananishonea nachotaka!

Yani ntamvizia penye watu wengi, namshika shati kwa kulikusanya shingoniakulipe
Mahaba niue yanaendelea hukuView attachment 2159435

Umepotea sanaPicha cjui ndo selfie sioni
Jioni ya mda gan? Mie huwa siwepo hapa jioni.Vocha itakufikia mchana ama jioni boss wangu hakikisha hukosi hapa
na usisahau kuselfika mamaa ya mizagamuo


