Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kama kumsifia boss ledi ni kesi basi acha tu niipate kwa kwelishos Anne Akili zake anazijua mwenyewe!


Boss ledi ni moja kati ya creatures zilizofinyangwa kwa umakini kabisa.
Kama kumsifia boss ledi ni kesi basi acha tu niipate kwa kwelishos Anne Akili zake anazijua mwenyewe!


Chukua nyingi nkamu
Hata mie nisingekuunga mkono 😎
Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono
Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo.
Zamu yako sasaEwaa..
Endelea kuleta vituu
Hata mie nisingekuunga mkono
Wakiwageuka huko nje?![]()




mdojolela,,,,,siuli hata kwa bunduki




wee mbna n mtamu sana khaaah.Ngoja nikutafutie japo mimi sio mdau wa picha, kwahyo ni zakutafuta sana.Zamu yako sasa
Kule mjini, mida ya jioni eeh?Mjini hapo Morogoro wanaweka viatu vizuri aisee
Nipo hapa kwa Adam Viazi 😎😎😎
Fanya hivyo rafikiNgoja nikutafutie japo mimi sio mdau wa picha, kwahyo ni zakutafuta sana.
Walinzi wenyewe wanalalaMlinzi my foot
haya mambo ni usiombe.
Ofisini kuna mlinzi tena wa kampuni, kuna cctv na bado wajuba walituingilia.
Huo wizi uliachaga rumors sana

Mlinzi my foot
haya mambo ni usiombe.
Ofisini kuna mlinzi tena wa kampuni, kuna cctv na bado wajuba walituingilia.
Huo wizi uliachaga rumors sana




sasa mie huyu, huyo mwizi ataiba huku namtazama tyuuh, najijua sina nguvu hata ya kusogea alipo. Uwiiiih. Ni muda toka niwaoneKule mjini, mida ya jioni eeh?
Nani hapendi usingizi?
Mmmmmh. Hapana siuwezi, nimewahi kuula mara moja tu,,vile sukari sukari ya mahindi hapanawee mbna n mtamu sana khaaah.
Jirani mwingine wamepasua vioo..alilock..wamebeba tvsasa mie huyu, huyo mwizi ataiba huku namtazama tyuuh, najijua sina nguvu hata ya kusogea alipo. Uwiiiih.
Usinitishe plz bhana wee.
+ mvua ya leo