Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
I second you mkuu, hata mimi nikiingia kwenye bajaji yangu hii, naenjoy kwa kiwango changu.Magari ni burudani sana tena tosha.. ukiwa bored gari inatoa stress.. hasa kama chuma imetulia.. ukiingia tu road stress tupa kule![]()


Eti bajajI second you mkuu, hata mimi nikiingia kwenye bajaji yangu hii, naenjoy kwa kiwango changu.![]()


🙏🙏Ukishikwa
Shikamana
Maisha mafupi haya
Ndio
Upate cha kusimulia siku ya mwisho
mahondaw umewezeshwa
Wezekanika bhas
Ukitupia picha humu
Wana wanadata ulivyo yutong
![]()
Oiiii..
Kale kakaza fuvu😂I wish ningekuwa mbishi kama yule ndugu yako hadi uka-surrender. Na ninakuagiza kitambaa, niletee red yako sasa
Mtatudanganya mchana kweupeOrange is the New Black
![]()
🤔🤔🙆
HahahhaMtatudanganya mchana kweupe
Jioni Usisahau kuniamsha nikapunguze hiki kitambi kwanza!
Haina shida mi nakushtua.Usisahau kuniamsha nikapunguze hiki kitambi sasa!
Inataka kufanana na sahani ya Anne. Nikashangaa sana Leo amemuwekea hicho chakula nani
NishapitwaaaaOiiii..
Dada mwenye shape yake hapa mjini🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jinsi ya kutengeneza detox ya kijani! .Jioni Usisahau kuniamsha nikapunguze hiki kitambi kwanza!



pia kwa wanaopunguza tumbo pekee bila mwili wanaweza kutumia .Irudie boss lady jamaniJioni Usisahau kuniamsha nikapunguze hiki kitambi kwanza!
Aah ya kupunguza tumbo tu?Jinsi ya kutengeneza detox ya kijani! .
. GREEN DETOX
MAHITAJI
TANGO1
APPLE LA KIJANI 1
MINT LEAVES(MAJN Y MNAANAA) Fungu moja (vimatawi 10)
Limao 1
Chia seed kijiko 1 cha chakula
Maji litre moja vuguvugu
Tangawizi Mbichi kijiko 1 . .
Saga vyte isipokuwa limao (unakamulia kwa juu) .
.
Kunywa ahsubuh kabla ya kula chochote! Au unawez kunywa kdgo kdgo siku nzima lakn ahsubuh lazma unywe ikiwa vuguvugupia kwa wanaopunguza tumbo pekee bila mwili wanaweza kutumia .
.
.By Judith
.
.
Nb
Usichuje
Nimeona nishare na wewe hapa .