Mie pia huwa nasikia hivyo,Hahahaaa... ubabe wawapi?? mbona nasikia wakipenda wanapenda kweli kweli eti!!!!!![]()



Sasa je
Nakufaje na njaa na hela za wazi zipo




wee sikuwezi yaan.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbna km n yeye huyu![]()
Kweli dadaHuyo ni pacha wangu na Mimi
Unaona mambo ya rangi sasa mdogo angu? Nyie hakuna rangi mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
.Kwa vyovyote iwavyo orange siwezi kuvaaKweli dada
nimeamini kila rangi ni nzuri sema hatujazizoea ndo shida hapo.
Hivi ni nani aliyekufundisha ubishi huu jamani? Nenda google basiHapana hii ni nyekundu
Orange nayoisema mm ngoja nitafute picha uone
Ukivalia kama tshirt je ?Kwa vyovyote iwavyo orange siwezi kuvaa
kuna rangi nilikuwa sizielewi .Sasa nagugo nini hapoHivi ni nani aliyekufundisha ubishi huu jamani? Nenda google basi
Sent using Jamii Forums mobile app



Twende zetu Mtwara kule zinatosha na kubakiInabidi niongee na washkaji zangu wa UKOD waniambie kama tu'million 200 tunatosha kuanzia au nijiendee zangu vacation kuzitumbua.😄😄
Sasa mm nilikuwa navaa tsheti hilo liorangeUkivalia kama tshirt je ?
HS ananitoa ushamba hapakuna rangi nilikuwa sizielewi .
Kuna wale jamaa walikuwa wanajisikia balaa haswa ukishindwa kutegua basi anaringa kweli kweli eti umchagulie mji wa kwenda, hivi wako wapi?
Yesu na Maria, huijui DSM 🙆Daslama ndio wapi tena jamani
Nipo green city
Waje niwachagulie daslama wakapambane na fukuto la joto bila helaKuna wale jamaa walikuwa wanajisikia balaa haswa ukishindwa kutegua basi anaringa kweli kweli eti umchagulie mji wa kwenda, hivi wako wapi?
DSM??Yesu na Maria, huijui DSM![]()
Isiwe tu Orange haki ya nani![]()








utakua km chungwaaBora sasa niwe chungwa
Suala la kuwasha data si jukumu lako.Awapi kijeba tu mie ..hamu zenyewe zishakata kitambo!