cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Vipi bado tyuuh?soon![]()
Vipi bado tyuuh?soon![]()
Kwanini sasaMmh vya miguuni vimenifanya niachane na viatu vya wazi


Hata mimi lakini si bora hata miguu mtu unavaa viatu mimi vya mikononi tu huwa natamani hata nivae gloves ila siwezi![]()







Agemate wangu kaoa kabinti kadogo keupe. Do you think what I am thinking?
Wanaume hatuzeeki![]()
View attachment 2158519


Hhhhaaaha!kwio iyo wifiHahahaa uwifi huo kwio.
Mrema ananizidi mwaka mmoja. Yuko 77 mimi 76. Hatupishani kivile!






sawa mzee wetuBIG BOOBS
Nini?dogooo!mahonda hayupo leoWee kumbe bas sawa,![]()
hebu fanya haraka ujifunze kuendesha. Yaan mie huyu eti niwe kwenye ndinga nisiendeshe? Khaaah ntakua bored tyuuh, siwezi kuvumilia yaan khaaah


sasa mwanaume kazi yake nini!acha aniendeleshee weee!mpk baasiNipo bored tyuuh, shouzzzzzzzz angu hayupo aaah



Ushauri bora kabisa huu tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Hata Abiudi Misholi hawezi kutoa ushauri bora kama huu...Nitauzingatia mkuu wangu![]()

Naweka kishoka na skuna juu!miwani kalii siku iyo nauramba niendane na gari!!Tena ndani ya v8 usipime Kama mbunge wa viti maalumu![]()



MbipuNipo bored tyuuh, shouzzzzzzzz angu hayupo aaah![]()





sasa mwanaume kazi yake nini!acha aniendeleshee weee!mpk baasi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




hivi unajua raha ya kuendesha ndinga wee?Naweka kishoka na skuna juu!miwani kalii siku iyo nauramba niendane na gari!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app







Ile kofia yako ya siku Ile usisahauNaweka kishoka na skuna juu!miwani kalii siku iyo nauramba niendane na gari!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Good, somehowIt was cool brod; I'm grateful. How was yours?