reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Najua ila mvivu na nasubiri ninunuliwe yangu za watu za kuibia staki miye!!ntakaa kushoto tuu labda kwa dharura mnoo...!!!hivi unajua raha ya kuendesha ndinga wee?
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app






sijui umewaza nini!

