Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu katika umri huu wa kula dawa za presha purukushani na gradyueti nitaziweza wapi? Waongozeni huko hao wenye digrii mkuu. Hata mimi ujanani niliwaongoza tena mpaka wenye Ph.D...[emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa Haina shida, tuachie Vijana venye ngozi inateleza
 
Giving is a reminder of our own blessings!
275855702_10159620826611675_4373219620686027273_n.jpg

Please support our friend Esteri in whatever way you can 🙏🏾🙏🏾
 
Hamna mkali wangu utani tu ila mchakarikaji haez shindwa hio [emoji38]
Nakuelewa sana tu but twapasa turidhike na kidogo kilichopo mda ukifika hakuna namna tutapata tu!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kwa sasa Mimi nna tz 11 tu!ndo maana kutwa najifungia ndani miye!sipendi kutoka toka

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom