ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
soonNasubiri![]()

soonNasubiri![]()

Nkamu hayo madole nikisahau tu kuyawekea pozi; picha imeshaharibikaKwahiyo wenye madole yetu hapa tusemeje sasa![]()
Bina kumbe asili yenu ni huko??Kivuruge wanguu nambie shooo!!nipo nilikua naandaa maakuli udugu wako!!Mimi naenda Ludewa hukoo kwa kina Del Filikunjombe maana ndo alikuaga mbunge wetuu!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ila kweli wewe ni toluHizo huwa hazikatwi; rangi hadi siku niote vizuri. Huwa zinakua na kukatika zenyewe, hadi zinakaa level teh

Tumsifu Bwana wa majeshi.Kwahiyo wenye madole yetu hapa tusemeje sasa![]()
Aaah kwamba ulikuwa na wasiwasi na height yangu? Mimi ni tall dark lady 😛😛💅💅💅💅💅💅💅Ila kweli wewe ni tolu
Nimeona vidole
Mmh vya miguuni vimenifanya niachane na viatu vya waziTumsifu Bwana wa majeshi.
Mimi vya miguu hata kuviangalia naogopa.





Ntakuja kukubeba usijali tutaanza na bambalagaSipajui shoo!!!Niko Dom Ila napajua Tango tu baasi !na daladala za kwetu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Dooh yani watu tunatamani kuwa na vidole vinavyoeleweka kama hivyo wengine mnayaita madoleNkamu hayo madole nikisahau tu kuyawekea pozi; picha imeshaharibika


Ubeberuni?Upako kama wote. The Holy Spirit is moving. The devil is defeated !!!
View attachment 2158280
Misheni hapa Misungwi mulangira. Mikoani huko mnasemaje?Ubeberuni?
Hii fursa siwezi lazia damu nitakupakiaNapenda kuendeshwasana afu Mimi niwe nampisha story dereva tufike sehemu tupaki,tuongee tu then tuanze tena safari!napendaga sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nkamu huonagi picha zangu nyingi, vidole havionekani?Dooh yani watu tunatamani kuwa na vidole vinavyoeleweka kama hivyo wengine mnayaita madole![]()
Nkamu hayo madole nikisahau tu kuyawekea pozi; picha imeshaharibika



Aaah kwamba ulikuwa na wasiwasi na height yangu? Mimi ni tall dark lady![]()



Unawaza nini?Agemate wangu kaoa kabinti kadogo keupe. Do you think what I am thinking?
Wanaume hatuzeeki
View attachment 2158519
Dooh kwamba ulifikiri tunalingana?
Umenizidi urefu
Mi najitoaga tu ufahamu navaa hivyohivyo.Mmh vya miguuni vimenifanya niachane na viatu vya wazi
NimekuzidiDooh kwamba ulifikiri tunalingana?
