Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kweli. So najikutaga tu mikono ishawekwa mifukoni au huko nyumaKhaa![]()
Kweli. So najikutaga tu mikono ishawekwa mifukoni au huko nyumaKhaa![]()
Graduate ambaye ameshakaa miaka 3+ mtaani anakuwa tayari ametulia. Wanaelewa haraka zaidi na ka exposure kiasi. Atakufaa Ila 35+ aaaagh speed zishapungua.Graduate hatutawezana. Mwisho fomu siksi na kawe 35 - 55 yrs. Sichagui kabila wala dini![]()
Jiamini tu bhanaKweli. So najikutaga tu mikono ishawekwa mifukoni au huko nyuma


Jizazi..🙄🙄🙄🙄LiDeu![]()
Ntajitahidi nkamu 🤣Jiamini tu bhana![]()
Graduate hapana!Graduate ambaye ameshakaa miaka 3+ mtaani anakuwa tayari ametulia. Wanaelewa haraka zaidi na ka exposure kiasi. Atakufaa
Sema urefu wako
Ngoja nikusaidie kumpostiaView attachment 2158509





Ushauri bora kabisa huu tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Hata Abiudi Misholi hawezi kutoa ushauri bora kama huu...Nitauzingatia mkuu wangu![]()

mwaveja kulumbaHow was your weekend my sister@Heaven SentJizazi..![]()
Eehh!binamuu!!!Bina kumbe asili yenu ni huko??


wifi yangu niniiShem utafika tu umri wa bwana mrema kwa sasa subiri kidogo!!!Agemate wangu kaoa kabinti kadogo keupe. Do you think what I am thinking?
Wanaume hatuzeeki![]()
View attachment 2158519
Hahahaa uwifi huo kwio.
Duuuh! Unabagua mtu sababu ya elimu yake! Hawa viumbe tumepewa tuwaongoze hata awe na degree 10 mkuu, unafeli wapiGraduate hapana!
Hawatuliagi!
Utafanya la mbolea nna wiki Niko bush kwangu ht mipango sijafika km utumbo vile!!!Ntakuja kukubeba usijali tutaanza na bambalaga




Mrema ananizidi mwaka mmoja. Yuko 77 mimi 76. Hatupishani kivile!Shem utafika tu umri wa bwana mrema kwa sasa subiri kidogo!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nafunga na kuomba kwa ajili yako kuanzia muda huu.Basi ka-Eve!
Niwachie upako wangu pulizi mtumishi![]()