Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,385
It was cool brod; I'm grateful. How was yours?How was your weekend my sister@Heaven Sent
It was cool brod; I'm grateful. How was yours?How was your weekend my sister@Heaven Sent
Wee kumbe bas sawa, [emoji23][emoji23][emoji23]Kivuruge wanguu nambie shooo!!nipo nilikua naandaa maakuli udugu wako!!Mimi naenda Ludewa hukoo kwa kina Del Filikunjombe maana ndo alikuaga mbunge wetuu!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uwiiiii, nimetamani pilau hilo woiiiiiih [emoji39][emoji39][emoji39]Ngoja nikusaidie kumpostiaView attachment 2158509
Ewaaa!!!uniendeleshee!!tufike sehemu tunapaki tunapiga story tuu!!!nakusubiri sasaHii fursa siwezi lazia damu nitakupakia
Mkuu katika umri huu wa kula dawa za presha purukushani na gradyueti nitaziweza wapi? Waongozeni huko hao wenye digrii mkuu. Hata mimi ujanani niliwaongoza tena mpaka wenye Ph.D...[emoji16][emoji16][emoji16]Duuuh! Unabagua mtu sababu ya elimu yake! Hawa viumbe tumepewa tuwaongoze hata awe na degree 10 mkuu, unafeli wapi
Nilimaanisha hio hio maandishi nilikosea means Asante kushukuru si ndio ?Lugha gani hiyo?
Kikwetu ni wabeja gūlūmba.
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji2]dunia haijawahi isha maajabu!we hajakuzidi ila wewe ni kafupi[emoji23][emoji23][emoji23]
Umenizidi urefu
Ndicho nilichokuwa nakitaka. Your prayers are always powerful [emoji1545]Nafunga na kuomba kwa ajili yako kuanzia muda huu.
Muone....Ndicho nilichokuwa nakitaka. Your prayers are always powerful [emoji1545]
JamaniiiiNawaza kuwowa na mimi [emoji16][emoji16][emoji16]
Picha ya kabinti keupe ngoja tusubiri siku ya harusi hiyo Machi 24...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu fanya haraka ujifunze kuendesha. Yaan mie huyu eti niwe kwenye ndinga nisiendeshe? Khaaah ntakua bored tyuuh, siwezi kuvumilia yaan khaaahNapenda kuendeshwa[emoji4]sana afu Mimi niwe nampisha story dereva tufike sehemu tupaki,tuongee tu then tuanze tena safari!napendaga sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Tena ndani ya v8 usipime Kama mbunge wa viti maalumu [emoji38][emoji38]Ewaaa!!!uniendeleshee!!tufike sehemu tunapaki tunapiga story tuu!!!nakusubiri sasa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uko sahihi. Nilifikiri kuwa kama lugha yako pia ni Kibantu basi maneno yatakuwa yale yale tu japo tofauti ndogo ndogo za matamshi zitakuwepo.Nilimaanisha hio hio maandishi nilikosea means Asante kushukuru si ndio ?
Mwenyeji kwa hili andiko, naomba nikutoe out,Kwasababu tunajali sana yale yanayoonekana kuliko yasiyoonekana. Pleasing/showing off to others badala ya Mwenyenzi Mungu mwenyewe.
Hahaha!!!kisa kimini au jinsi jamaniHakika, na ukijifanya mbishi hadi meza ya Bwana unazuiliwa kushiriki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh dada wa mujiniiii
teh [emoji1787]Hizo huwa hazikatwi; rangi hadi siku niote vizuri. Huwa zinakua na kukatika zenyewe, hadi zinakaa level teh
Afu mie niloomba hata sijaona yaan khaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo wenye madole yetu hapa tusemeje sasa [emoji2297][emoji2297]