Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,466
Massage ni 70,000 mpaka 50,000hebu tag location, kwan massage ni bei gan?
Leo nakunywa na marafiki hapa Samaki Samaki
Massage ni 70,000 mpaka 50,000hebu tag location, kwan massage ni bei gan?
Dogo usinifanye mshamba ntakupigaSehemu gan mjini?![]()
Sipajui shoo!!!Niko Dom Ila napajua Tango tu baasi !na daladala za kwetuNjoo Rose garden 🪴![]()
Mie je?Massage ni 70,000 mpaka 50,000
Leo nakunywa na marafiki hapa Samaki Samaki










Ni jambo ya kushukuru maana wengine maombi yetu yangekuwa yanarudishwa kama yalivyoenda 😇🙏🏾🙏🏾Definitely He doesn't. Sema tu ni tamaduni za watu huku na huko...na common sense tu. Kwamba usivae mavazi ambayo yanaweza kumkwaza mwingine kwenye ibada yake...
Napenda kuendeshwaMagari ni burudani sana tena tosha.. ukiwa bored gari inatoa stress.. hasa kama chuma imetulia.. ukiingia tu road stress tupa kule![]()
sana afu Mimi niwe nampisha story dereva tufike sehemu tupaki,tuongee tu then tuanze tena safari!napendaga sanaKwasababu tunajali sana yale yanayoonekana kuliko yasiyoonekana. Pleasing/showing off to others badala ya Mwenyenzi Mungu mwenyewe.He/she doesn't care except Good heart.
Ila hizo mambo ya mavazi ya kuchanika sijui mapensi hutayaona yakivaliwa huku kwetu KKKT, Roman Catholic wala EAGT
Tupia hata vesti malaika wasije wakabaki kukuangalia badala ya kukusikiliza 😂😂Nipo nae hapa anasema hajali wala nini.. anapenda watu wenye moyo kama wako.. tena hapa mie nimevaaa kikoi tu kifua wazi 😎😎😎
Thank YouKwasababu tunajali sana yale yanayoonekana kuliko yasiyoonekana. Pleasing/showing off to others badala ya Mwenyenzi Mungu mwenyewe.
Ngoja nikusaidie kumpostia
Teh dada wa mujiniiiiNgoja nikusaidie kumpostiaView attachment 2158509
Sipatii picha ukifuga hizi kuchaUsizoee madole yangu tafwadhaliView attachment 2158508

Sipatii picha ukifuga hizi kucha
Una kucha zimekaa wima hadi raha.
Unazuiliwa getini au unapewa kitenge!!He/she doesn't care except Good heart.
Ila hizo mambo ya mavazi ya kuchanika sijui mapensi hutayaona yakivaliwa huku kwetu KKKT, Roman Catholic wala EAGT

Kwa hizihizi kucha ambazo zikikua ndio zinakuwa nzuri?Teh dada wa mujiniiii



Kivuruge wanguu nambie shooo!!nipo nilikua naandaa maakuli udugu wako!!Mimi naenda Ludewa hukoo kwa kina Del Filikunjombe maana ndo alikuaga mbunge wetuu!!!