Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Definitely He doesn't. Sema tu ni tamaduni za watu huku na huko...na common sense tu. Kwamba usivae mavazi ambayo yanaweza kumkwaza mwingine kwenye ibada yake...
Ni jambo ya kushukuru maana wengine maombi yetu yangekuwa yanarudishwa kama yalivyoenda 😇🙏🏾🙏🏾
.....na baraka zake tungeishia kuzisikia kwa watakatifu.
 
Magari ni burudani sana tena tosha.. ukiwa bored gari inatoa stress.. hasa kama chuma imetulia.. ukiingia tu road stress tupa kule
Napenda kuendeshwasana afu Mimi niwe nampisha story dereva tufike sehemu tupaki,tuongee tu then tuanze tena safari!napendaga sana

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Heaven Sent mama malezi hebu post vidole tyuuh
Ngoja nikusaidie kumpostia
20220320_203743.jpg
 
mahondaw shouzzzzzzzz ake, uko wapi jomoneeeee mwenzio nimekumiss had naumwaaaah.

Tinsley shost ake, wea ara yuu? Nimemiss lips na shingo, afu nimekumbka jana lol.

reymage mlongo uko wapi wee? Hebu nisindikize home bas, wee utaishia makambako pale

cocastic wozi hia, byeeeeeh, tumoru izi e dei olso.
Kivuruge wanguu nambie shooo!!nipo nilikua naandaa maakuli udugu wako!!Mimi naenda Ludewa hukoo kwa kina Del Filikunjombe maana ndo alikuaga mbunge wetuu!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom