cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
Shati nimelielewa, limekaa penyewe yaan. [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Shati nimelielewa, limekaa penyewe yaan. [emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha geti kali hawatoki kabisa [emoji23]
mimi nazurura mno , nipo free sema ndo hivyo upele humuota asiye na kucha [emoji28][emoji28].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaonekana upo vyema , nimekumbuka picha unazoweka hapa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah nilijua hapa utatia neno [emoji1787][emoji1787]
Maji yana nguvu , vikelele muhimu .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.Kweli wewe ni mwalimu kabisa .
Last time nilipiga kelele hadi yule kaka akaniambia dada wewe muoga sana [emoji1787] toka hapo sijaogelea tena .
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea una nn lakini? WeeAlinisema yule kaka kwamba hata utaweza kuendesha gari wewe . Hivi mawimbi hayo nibaki nashangilia tu mimi [emoji1787]
Shosti acha tu ushamba huu [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimerudi ufukweni my sisy ananiambia hivi yale makelele yalikuwa yako [emoji1787][emoji1787].. adrenaline yangu haitaki mchezo mie .
Nn hii? [emoji23][emoji23][emoji23]Ur fav dyadya Lenie View attachment 2157155
kila nikikumbuka nacheka ..nilikuwa bado nina akili za kijinga [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea una nn lakini? Wee
Weeee....huko kwa big boys kabisa???😯😯Lizzy karibu kwenye gropu ule vitu.. View attachment 2156928
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harakati za mabaharia
View attachment 2157224
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka ujichanganye? Kingekukuta kitu lol.Wee
Kumbe Bill Ndiyo Fortnox?
Nilikuwa nadhani Fortonox ni yule beberu mwitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa huyu ataoa kweli ?
Chapati zake nzuri tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akioa ole wake mke awe anazingua kwa mapishi
Eeeeewh ndyoooooooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tuibie wote[emoji4]View attachment 2157228
Itabidi tuungane nae tuanze kilimo cha miwa 😂😂We naona huna tofauti na mdogo wangu, yule binti chai yake me siwezi kuinywa. Team masukari mengi😂
Moshi kuchelee
Lazima turudi buana 🏃♀️🏃♀️
Hebu geuka nione km unaweza kurithi mikoba, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waaa
Sijui nigeuke Cocastic kwa muda