cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Haha geti kali hawatoki kabisa![]()
mimi nazurura mno , nipo free sema ndo hivyo upele humuota asiye na kucha.







Kweli wewe ni mwalimu kabisa .
Last time nilipiga kelele hadi yule kaka akaniambia dada wewe muoga sanatoka hapo sijaogelea tena .







mbavu zangu mie.Alinisema yule kaka kwamba hata utaweza kuendesha gari wewe . Hivi mawimbi hayo nibaki nashangilia tu mimi![]()




dea una nn lakini? WeeNimerudi ufukweni my sisy ananiambia hivi yale makelele yalikuwa yako.. adrenaline yangu haitaki mchezo mie .






kila nikikumbuka nacheka ..nilikuwa bado nina akili za kijingadea una nn lakini? Wee

Weeee....huko kwa big boys kabisa???😯😯Lizzy karibu kwenye gropu ule vitu.. View attachment 2156928
Wee
Kumbe Bill Ndiyo Fortnox?
Nilikuwa nadhani Fortonox ni yule beberu mwitu





ulitaka ujichanganye? Kingekukuta kitu lol.Itabidi tuungane nae tuanze kilimo cha miwa 😂😂We naona huna tofauti na mdogo wangu, yule binti chai yake me siwezi kuinywa. Team masukari mengi😂
Moshi kuchelee
Lazima turudi buana 🏃♀️🏃♀️
Hebu geuka nione km unaweza kurithi mikoba,Waaa
Sijui nigeuke Cocastic kwa muda




