Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Kweli wewe ni mwalimu kabisa .Ukiwa unajifunza ni kawaida kupiga kelele![]()
toka hapo sijaogelea tena .Huyo Mwalimu hafaiKweli wewe ni mwalimu kabisa .
Last time nilipiga kelele hadi yule kaka akaniambia dada wewe muoga sanatoka hapo sijaogelea tena .



Sabato ilikuwa njema/salama kabisa kama siku zote mpendwaOoh vyema ..
Sabato ilikuwaje pande hizo .
Alinisema yule kaka kwamba hata utaweza kuendesha gari wewe . Hivi mawimbi hayo nibaki nashangilia tu mimiHuyo Mwalimu hafai![]()

Alinisema yule kaka kwamba hata utaweza kuendesha gari wewe . Hivi mawimbi hayo nibaki nashangilia tu mimi![]()



Ooh vyema ..
Vizuri sana kama ni kwema BossKwema boss T 1990 ELY .. habari za hapo mkuu
Nambie lini utakua trayari twende zetu kigamboniAlinisema yule kaka kwamba hata utaweza kuendesha gari wewe . Hivi mawimbi hayo nibaki nashangilia tu mimi![]()
Nimerudi ufukweni my sisy ananiambia hivi yale makelele yalikuwa yako

.. adrenaline yangu haitaki mchezo mie .inapendeza sana hiyo mzeeVizuri sana kama ni kwema Boss
Habari za hapa njema/salama kabisa mkuu
DahNimerudi ufukweni my sisy ananiambia hivi yale makelele yalikuwa yako.. adrenaline yangu haitaki mchezo mie .



Nitakuambia lini nitakuwa na muda .Nambie lini utakua trayari twende zetu kigamboni
Iwe friday, jmos na SundayNitakuambia lini nitakuwa na muda .
NotedIwe friday, jmos na Sunday
Selfika rafikiNoted
Thanks

Sina picha mpya rafiki , camera hainipendi siku hiziSelfika rafiki![]()
