Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Geti kali eehHahaha natoka ila kuna mida yake ..
Sijazoea kutoka usiku ila kama nimeenda sehemu nikachelewa kurudi hiyo ni sawa ambapo mwisho saa nne hivi.

Geti kali eehHahaha natoka ila kuna mida yake ..
Sijazoea kutoka usiku ila kama nimeenda sehemu nikachelewa kurudi hiyo ni sawa ambapo mwisho saa nne hivi.

Haha geti kali hawatoki kabisaGeti kali eeh![]()

.Maeneo gani unapenda kutembelea?Haha geti kali hawatoki kabisa![]()
mimi nazurura mno , nipo free sema ndo hivyo upele humuota asiye na kucha.
Sehemu tulivu hii kama beach , cafe etcMaeneo gani unapenda kutembelea?
Beach, unajua kuogelea?Sehemu tulivu hii kama beach , cafe etc
Niseme sijui tu maana naogopa waves hatariBeach, unajua kuogelea?

Niruhusu niwe mwalimu wako hadi ujue kuogeleaNiseme sijui tu maana naogopa waves hatari
Beach pana raha yake hata kama hujui kuogelea kama vile kutembea ufukweni .

Unaonekana upo vyema , nimekumbuka picha unazoweka hapa .Niruhusu niwe mwalimu wako hadi ujue kuogelea![]()
Najitahidi kwakweli, nitakupa mbinu zote za kuogelea uwe mtalaamUnaonekana upo vyema , nimekumbuka picha unazoweka hapa .
Ooh thanksNajitahidi kwakweli, nitakupa mbinu zote za kuogelea uwe mtalaam


Vile vikeleleOoh thanks
Mweh nisije nikakutia aibu mie ..
Nikaanza vikelele vyangu hapo kwenye swimming pool,![]()

Hahah nilijua hapa utatia nenoVile vikelele
Vile
Usiniambie


Tinsley mamboOoh thanks
Mweh nisije nikakutia aibu mie ..
Nikaanza vikelele vyangu hapo kwenye swimming pool,![]()
Mambovipimkuu
Vizuri sana kama ni poaPoa
Vipi mzima Ely ?
Ukiwa unajifunza ni kawaida kupiga keleleOoh thanks
Mweh nisije nikakutia aibu mie ..
Nikaanza vikelele vyangu hapo kwenye swimming pool,![]()

Vizuri sana kama ni poa
Mimi ni mzima kabisa namshukuru MUNGU mpendwa
Kwema boss T 1990 ELY .. habari za hapo mkuuMambovipimkuu