Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Achana na chuchu weweChuchu saa 6,
Hii ni saa 4 kabisa
Boss ledi mtu na nusu walay![]()
🤠🤠 mbali kweli hakuna namna.. trip itakuwa tamuuu... hadi tunamaliza trip mambo yanakuwa safi.. Rais Samia tutakuta kutunga policy mpyaNaona mbali loh…
Asanteeee
Siku ukija kuoa

😀😀😀 nafikiri pimbi hadi leo yupo singleSiku ukija kuoa
Mkeo atapata raha sana![]()
Tulia sabato iishe kwanzaMbna hapo kwa zipu km pametuna? Afu kuelekea upande wa bible, au macho yangu?![]()


Yupo humuMbavu zangu jamani
Huyu Abiud Misholi uko alipo atakuwa anajing’ata sana


Ila tone yake inachekesha 🤣Yupo humu
Anakusoma taratibu
Kama anavyoimba![]()
☹️🤠🤠 mbali kweli hakuna namna.. trip itakuwa tamuuu... hadi tunamaliza trip mambo yanakuwa safi.. Rais Samia tutakuta kutunga policy mpya
Jamaa anashusha mistariHuu ni wimbo eeh ?

Jamaa anashusha mistari
Sio domo zege kama mimi
Ni wewe tu ilivyokuingia![]()


.PoleeeNilikuwa jikoni yaani nakuja sioni kitu.
Wewe pia upo vizuri kwenye fashion dearWoooooow![]()
Hiyo hadi inikute machoPoleee
Basi subiri usiku wa manane best


DuhIla utakuwa unajua kimtindo..
itabidi siku ujifunze mjomba,mdogo mdogo mambo yataenda .

