Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😀😀😀 gari umeme mwingiMbona napaona April ni mwakani jamani…loh…
Kwamba utachoma kiwese mpka huku
Chief
😀😀😀 gari umeme mwingiMbona napaona April ni mwakani jamani…loh…
Kwamba utachoma kiwese mpka huku
Chief
Anko dereva kumbe na farewell party ulifanya na sijui!!loh☺️Aunt abiria, huku nilishaaga kitambo...hii itakuwa comment yangu ya kwanza tangu nilipong'atuka rasmi kwenye huu uzi
Hebu acha tu niendelee kutundika daluga 😉😉
❤❤
Huu ni wimbo eeh ?Anaitaka pia......... (mmmh)
Anaiamini.............(mmmhh)
Na ameiridhia...........
Wacha wee, kumbe mko twin? Ooooh woooow! huyo ni twin ake shos!
Ile ni mustard yellow; editing tu za cameraWow ..gold hakika unaipenda pia .
Basi una damu ya nguo dada ,mie naogopa rangi nyingine naona nitakuwa kichekesho ..
UsiondokeeHaya bado wee yako sasa,![]()
Mustard yellow je?Dada mimi naona kuna rangi watu weusi hazitufai aisee huwa sitaki kabisa kuzivaa mfano bright yellow.
Wow ..gold hakika unaipenda pia .
Basi una damu ya nguo dada ,mie naogopa rangi nyingine naona nitakuwa kichekesho ..






Hiyo ndiyo nayoivaa sana sasaMustard yellow je?
Mama maleziiiiiii, leo umeamuaaaaa.






, woooooowAkija reymage utamwambia nilimtumia picha akayeyaaqWacha wee, kumbe mko twin? Ooooh woooow
Sijaona loohhMshono umetulia mahali pake mnooo, ila hiyo cm mbna km 3?
![]()
Dada uko vzr!!Binamu hata kama huna damu; wewe Vaa tu, hiyo damu itakujia baadayeView attachment 2156518




Nione jamaniHiyo ndiyo nayoivaa sana sasa