Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ewaaaaa.... 😋😋😋Hiki kibukta nimekielewa chataka kufanana na hiki
View attachment 2156463
c. c Heaven Sent
Ewaaaaa.... 😋😋😋Hiki kibukta nimekielewa chataka kufanana na hiki
View attachment 2156463
Utavalia wapi wee mkwe wa Abiud?Nakacharanga kama kalivyo kwenye picha





Hivyo nimeshona mimi, nicheki nikufanyie mafekecheee u damshi 😀😀😀Mshono wa hivi vibukta anatakiwa fundi kweli, nilipeleka kwa fundi rang nyeusi na pink, aliishia kuniharibia tyuuh, sitaki tena mie. Aaaaaah.
Ila hapo kapendeza mnoo.
Kabisa aweke hapa.Jamani
Heaven Sent weka basi tuone daah
tudorishie ili tupate wivu. Mwisho wa mwezi tuanze kusumbua mafundi




Siku nikivaa wa kitambaa chake nakudorishiaaNdo mie nimesema lazima nishone aseeeh. Nimeuelewa huo.![]()
Nitashona kama hiki lakini rangi ya peach au pink mpauko na kikoti cheupe tuone nitafananaje loh
Aseeeeeeh mbna km roho inanambia niingie tena dukan ninunue kitambaa nikashone uwiiiiih. Kanoga mnooo.



Wee sema kweli? Navopenda shorts mie, yaan nakua huru mtaani mnoo,Hivyo nimeshona mimi, nicheki nikufanyie mafekecheee u damshi![]()


Mkuu huyu ndiye Heaven Sent ?
Inawezekana mimi nimeangalia Kwa umakini nikauona ukakasi kwenye mwandikokwan sasa?
Yan naomba kabla hujapost tuite, hakikisha tumeitikia 🤣🤣Jioni basi nikirudi. Ingawa changu nilishona kitambaa, kifuani ndiyo nikachanganya na lace kiduchuuuu
Wee apo rangi ya maziwa, afu tafuta koti rangi ya pink utaniambia hapa.Nitashona kama hiki lakini rangi ya peach au pink mpauko na kikoti cheupe tuone nitafananaje loh



Ni wewe ndo umeshona..wallah nakuja ila nipendeze chiefHivyo nimeshona mimi, nicheki nikufanyie mafekecheee u damshi 😀😀😀
Mwenzio naweza kuwahi kabla yako,Siku nikivaa wa kitambaa chake nakudorishiaa




Utavalia wapi wee mkwe wa Abiud?![]()
Yaan huyo mshono, mie nimeupenda kwa kweli, lazima nishone aseeeh.Yan naomba kabla hujapost tuite, hakikisha tumeitikia
Yan nishapata picha kalivyo kazuri![]()
Hebu selfika bas guu la kuombea mkopo.Inawezekana mimi nimeangalia Kwa umakini nikauona ukakasi kwenye mwandiko
Hakuna cha tofauti lakini tuendelee kuselfika.
Mbali nayyote mahondaw yuko vyema



Ya kitambaa tayari ninayo, sasa sijui utawahi nini 🤣Mwenzio naweza kuwahi kabla yako,![]()