Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Point 1 bado cc wee, yaan tupate sare au tufungwe, sasa hakna kitu km hicho,
Kheeeeh city hii tuchanganyikiwe kwa kipi sasa? Gari limewaka hivyoooh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Subiri,uone wolves anavyowatandika
We huoni kama tumewafikia haraka sana...
Makali yenu yamepungua,wenzio wanakiri hili.. Kwanza wanaogopa
 
Subiri,uone wolves anavyowatandika
We huoni kama tumewafikia haraka sana...
Makali yenu yamepungua,wenzio wanakiri hili.. Kwanza wanaogopa
nakuambiaje match zote zilizobaki ni kubonda mtu tyuuh, EPL hii hapa.
Tunanyanyua kwapa, hahahahahah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
nakuambiaje match zote zilizobaki ni kubonda mtu tyuuh, EPL hii hapa.
Tunanyanyua kwapa, hahahahahah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Si ajabu hata mechi zenyewe hufatilii unasema ni kubonda tu
Mpira wa moto mdogo wangu,
Ulitazama mechi dhidi ya wolves unaweza kuzimia Kwa presha maboya wale wanavyojambisha uwanjani
 
Back
Top Bottom