cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Itabidi kuanzia sasa mtu akileta application nianze na swali 'Wewe ni shabiki wa timu gani?'
Halaf ndio mengine yafate
Kama sio Arsenal basi automatikali atakua kapoteza points 3 muhimu








Wenzio wa city wanaofuatilia muelekeo wa Mpira wanakiri wazi kuwa city amepunguza nguvu sana kipindi hiki.sasa liver ana ubavu gan wa kumfunga city? Aaaah wee cc hebu kuwa serious bas lol
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
HakikaKwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.
Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano![]()

Subiri,uone wolves anavyowatandikaPoint 1 bado cc wee, yaan tupate sare au tufungwe, sasa hakna kitu km hicho,
Kheeeeh city hii tuchanganyikiwe kwa kipi sasa? Gari limewaka hivyoooh.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app


Sio kwa kutotaka ubingwa? Na match zote sahivi ni kushinda tyuuh no sare yaan.Wenzio wa city wanaofuatilia muelekeo wa Mpira wanakiri wazi kuwa city amepunguza nguvu sana kipindi hiki.






My ever-byuriful Nkamu. Kujiajiri kama huna discipline; kutakushinda pia mapema sana


Umendeza sanaaaaa![]()
Huwa tunavumilia mengi sana ila sio Kuibiwa Mke lakini 🙊🏃🏃Naunga mkono hoja,
Wanaume wanaoshabikia Asenali ni wavumilivu sana
Halafu hawana mdomo kama Hawa man UTD.
Subiri,uone wolves anavyowatandika
We huoni kama tumewafikia haraka sana...
Makali yenu yamepungua,wenzio wanakiri hili.. Kwanza wanaogopa![]()





nakuambiaje match zote zilizobaki ni kubonda mtu tyuuh, EPL hii hapa. Huwa tunavumilia mengi sana ila sio Kuibiwa Mke lakini![]()







Aiseeeee
Nkamu, utadhani umeshushwa hivi toka mawinguni
Naomba umalizie kasura kule Kwa kasimu majaliwa


Nkamu




nakuambiaje match zote zilizobaki ni kubonda mtu tyuuh, EPL hii hapa.
Tunanyanyua kwapa, hahahahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app










Nkamu achia yote basii
Wacha dharau Mkuu, hii Arsenal tukipata Mshambuliaji Mjanja mjanja pale mbele pamoja na Mbadala wa Granit Xhaka pale dimbani itakuwa haishikiki nakwambia 💪Ubingwa gani??
Huu huu au mnasnzisha mashindano yenu pekeyenu na kujipa ubingwa![]()
Naomba Safari hii usinizingue nkamu tafadhaliNkamu
Daah Unazingua ujue![]()

Wakati huo akina VVD watakuwa wapi kumkabaWacha dharau Mkuu, hii Arsenal tukipata Mshambuliaji Mjanja mjanja pale mbele pamoja na Mbadala wa Granit Xhaka pale dimbani itakuwa haishikiki nakwambia![]()




