Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Huwa tunavumilia mengi sana ila sio Kuibiwa Mke lakini![]()

Huwa tunavumilia mengi sana ila sio Kuibiwa Mke lakini![]()

Afadhali…kuna muda nawatamani wanafanyabiashara, kuamka asubuhi uvivu jamani![]()
Kwani hukuona Ile game yetu ya mwisho, bila Kubebwa na Ile Penalty ya Mbeleko, City alikuwa anakufa pale Emirates 💪wee babuuu wee yaan city hii iogope kukutan na gunners? Hauko serious.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Naomba Safari hii usinizingue nkamu tafadhali![]()


Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.Thank you Nkamu….basi nipambane tu na kuajiriwa ingawa kuamka asubuhi daah huwa natamani kulia![]()
Nkamu wewe siyo wa kunihujumuHili suala inabidi tulijadili kifamilia sasa![]()

😂😂😂Itabidi kuanzia sasa mtu akileta application nianze na swali 'Wewe ni shabiki wa timu gani?'
Halaf ndio mengine yafate
Kama sio Arsenal basi automatikali atakua kapoteza points 3 muhimu
Huyo VVD wenu huwa anapoteana mkiwa mnafanya high pressing. Vijana wetu pale Mbele wako vizuri sana, ni vile hakuna mmaliziaji mzuri tu.Wakati huo akina VVD watakuwa wapi kumkaba![]()
Unajua mechi zilizobaki?Sio kwa kutotaka ubingwa? Na match zote sahivi ni kushinda tyuuh no sare yaan.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app




Kwani hukuona Ile game yetu ya mwisho, bila Kubebwa na Ile Penalty ya Mbeleko, City alikuwa anakufa pale Emirates![]()






akaaaah, acha nikae kimya tyuuhNaingoja best 😌 na ShabibyIle zawadi yako ya Jersey ya Arsenal nikuletee best?
Kushabikia Arsenal kumefanya Uzee wangu kuwa murua kabisa, hata ikipita miezi 6 pension haijatoka huwa najipa moyo kuwa ikilipwa itakuwa ya Mkupuo, then I keep waiting tu 🙈
Golini tumewaletea Diaz anawakimbiza mabeki hadi wanajiona hawana kazi hapo uwanjani.Huyo VVD wenu huwa anapoteana mkiwa mnafanya high pressing. Vijana wetu pale Mbele wako vizuri sana, ni vile hakuna mmaliziaji mzuri tu.
Leo sijavaa Miwani yangu lakini nimeweza kuona Pisi Kali.kuna muda nawatamani wanafanyabiashara, kuamka asubuhi uvivu jamani![]()
Nzuri mkuu,Mjep za masiku? Fanya kuselfika basi japo tbt
Unajua mechi zilizobaki?
Fixture umeiona ilivyokaa?![]()





tukutane mwisho wa msimu, tusianze mbwembwe nyingi, macho yatathibitisha. 



Ulianza vizuri ila hapo mwisho ndiyo umeharibu😢Naingoja best 😌 na Shabiby
Arsenane oyeeeee 😹
Nasema sitokii nasubiri sekfie matata ya boss wanguEndelea kusubiri hapo hapo Nkamu
Wewe naonaga vocha tu, sijawahi ona suraNzuri mkuu,
Hujawahi kuselfika hapa
Fanya namna basi
Mimi muda si mrefu nashusha vituu
Acha kumtisha Babu yako basi 😂Golini tumewaletea Diaz anawakimbiza mabeki hadi wanajiona hawana kazi hapo uwanjani.