Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Keep politics aside.Mpo kwenye mnada chini ya yono auction mart
🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤣🚶🏻♀️
Keep politics aside.Mpo kwenye mnada chini ya yono auction mart
Kuna timu hata mkitaka kubet mtu unaumiza kichwa umpe nani ushindi😂😂😂 watu wanajisahau sana
Bora hata wangepambana wakadraw, mgawane points.
Sijui nimtag 🤣🤣🤣🤣Kuna timu hata mkitaka kubet mtu unaumiza kichwa umpe nani ushindi
Timu kama Chelsea,City matokeo yao huwa hayatabiriki..
Liver na Aseno mechi iko wazi kabisa mshindi anaonekana nani afu mtu eti anajitoa ufahamu anampa Asenali..
Watu wamekuwa huru sana aisee🤣,katiba mpya ni muhimu😂😂😂
Sasa hawa wanapitia kipindi kigumu ila bado wanaperform vizuri Jana wameshinda ugenini.Mpo kwenye mnada chini ya yono auction mart
Kumbe yupo!🤣🤣🤣Sijui nimtag 🤣🤣🤣🤣
Sasa hawa wanapitia kipindi kigumu ila bado wanaperform vizuri Jana wameshinda ugenini.
Naimagine liman u lingekuwa ndio linapitia haya,haki ya nani
Na netiboli zenu zile mngekuwa mnatandikwa hadi 30


😂😂😂Eti hii nchi Uhuru umezidiwe dgo na wew ni comedian
Mimi ni mzito sn kutoka kiunoni kwenda chini,huwezi kunibebaYaan aweke nione hapa.
Afu uwe na adabu, nan mtoto? Nilishindwa kukubeba? Khaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aendelee kupumzika Kwa Amani JPM
Mimi baada ya kusikia upo kitandani unakata viunoHapa nipo kitandani nakata viuno.
Nachukua video, nataman nitume hapa,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mahondaw nimekumisiTuko poa shemshem akee!!
Nipo mkuu Miss you more!Mahondaw nimekumisi
Naona Diego Jota ana kismart Cha kutufunga Arsenal mara Kwa mara, hata lile kombe la Fa alitufunga na kutolewa kwenye mashindano Kwa sababu yake.
All in all, nafarijika na improvement yetu nowadays. Tuna shambulia na kufanya trials za kufunga kila tupatapo nafasi sio kama zamani za kocha Emere.
Top 4 Mwaka huu tunaingia inyeshe mvua liwake Jua.
Gunners forever![]()






watu pressure mnazifuata wenyewe kumbe, uwiiiiiiihPerformance yenu Jana ilikuwa nzuri..
Kuanzia possession of balls,mashambulizi
Kwa kweli mpo vizuri... mechi ya Jana haikuwa rahisi sana kwetu kwanza tulikuwa ugenini Emirates.
Ila asenali na nyie mkichezaga na timu ndogo mnakuwa mafundi kweli .
Timu kubwa zinawachakaza mnakuwa weupe kama karatasi.
ERoni nakusalimia.
Leo sikugusi.
Nawataka Hawa Wana Depal ,Fortnox na Wigelekelo waliojitolea kutusagia kunguni
Vipi Wasaga kunguni,kazi yenu imetick???
Ngapi huko
Biliiiii
Unaona sasa timu za wanaume tunashinda ugenini..
Nyie AM imewachakaza mubashara kabisa nje ndani mkiwa nyumbani..hakuna timu pale.
Na tunawasubiri anfield mwezi ujao tuwachinjie nje mazima
YNWAView attachment 2153551







mbavu cna hapa khaaaah. Of course ni kama game ilikuwa 50/50 tu, ukiangalia shots on target 2/3 nyie 2 mbili mkazi convert kuwa magoli wakati sisi zimeokolewa. Lakini ukiangalia hata mashambulizi hatari tumefanya mengi 52 dhidi 38 yenu.
Kuna vitu vichache tunahitaji kuviboresha ila I can see bright future with this Arsenal![]()









akaaah sitakiii. Timu lenu siavi mmeacha mipira mmegeukia u free Mason Ngoja siku hiyo na man utd hayo mapepo lazima yatoke yatake yasitake mpaka Leo hua hatujui zile tano zilifikaje Ni nguvu zenu za giza









