Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 2153684
View attachment 2153685
Hapo zamani za Kale tulipopata mtumbuizaji mwenye mashairi laini na Kiuno bila mfupa, homa zote za mafua zilikuwa zinakata Kila ukimtazama Kwa Luninga

Kweli wakati Ukuta, Ngoja niendelee kuvuta Kiko yangu hapa 🥱
Kuna siku nilikuwa namsikiliza
Nikajaribu kutengeneza picha,huyu dada Kwa hii sauti angekuwa anamuimbia Mungu huko kanisani.
 
Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.

Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano
Naunga mkono hoja,
Wanaume wanaoshabikia Asenali ni wavumilivu sana
Halafu hawana mdomo kama Hawa man UTD.
 
Back
Top Bottom