cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
View attachment 2153684
View attachment 2153685
Hapo zamani za Kale tulipopata mtumbuizaji mwenye mashairi laini na Kiuno bila mfupa, homa zote za mafua zilikuwa zinakata Kila ukimtazama Kwa Luninga
Kweli wakati Ukuta, Ngoja niendelee kuvuta Kiko yangu hapa 🥱




huyu dada kajaliwa sauti na kiuno mweeeeh. Homa ya nchi. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app









