Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna timu hata mkitaka kubet mtu unaumiza kichwa umpe nani ushindi
Timu kama Chelsea,City matokeo yao huwa hayatabiriki..
Liver na Aseno mechi iko wazi kabisa mshindi anaonekana nani afu mtu eti anajitoa ufahamu anampa Asenali..

Watu wamekuwa huru sana aisee,katiba mpya ni muhimu
Hata man city & liver, match hiyo n rahis kubet, city anachukua 3pts,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Sasa hawa wanapitia kipindi kigumu ila bado wanaperform vizuri Jana wameshinda ugenini.

Naimagine liman u lingekuwa ndio linapitia haya,🤣🤣🤣haki ya nani 😂😂😂
Na netiboli zenu zile mngekuwa mnatandikwa hadi 30
Vijana wako busy na zoezi d
Wee the mmefuzu robo final UCL? Hongereni mnoo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita tulichukua ndoo

Msimu huu pia naona mambo siyo mabaya
 
"Wakisema ni Malaya, I don't care,
Wakikusema vibaya, I don't care,
Baby mimi, I don't care"



Hapa kusah alijua kuimba, nipo kitandani nakata viuno.
Nachukua video, nataman nitume hapa,


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na hicho kiuno chako kigumu kuzidi maisha yangu unataka utuwekee hapa?
Tukikucheka sasa? 😂😂
 
watu pressure mnazifuata wenyewe kumbe, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.

Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano🙊😂😂
 
Na hicho kiuno chako kigumu kuzidi maisha yangu unataka utuwekee hapa?
Tukikucheka sasa?
dea wee una nn lakini? Kiuno changu kilivyo laini kuliko urojo wa zenji, kinavyozungka sasa km feni mbovu isiyo na break,

Kuna kiumbe fulan huwa anasema "tulia kwanza utaniangusha bas au twende slow slow" maan sio kwa mzunguko huo, hapo sasa tena kwa style, huku wimbo ukinogesha zaidi. Weuweeeeeeeeh.

Mnicheke kukata viuno jaman? Maisha enyewe haya yalivyo akuuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwenye haya maisha, kama Wewe ni mrembo hakikisha Mwanaume wako ni Shabiki wa Arsenal.

Hatujisifii ila hakika sisi ni wavumilivu mno, kama tumeweza kushabikia timu miaka 16+ bila ubingwa wa epl ndiyo tushindwe kuvumilia mahusiano
kwa kweli mnastahili tuzo, na mjengewe sanamu lenu. Uwiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220308-194816.jpg

Screenshot_20220308-194808.jpg

Hapo zamani za Kale tulipopata mtumbuizaji mwenye mashairi laini na Kiuno bila mfupa, homa zote za mafua zilikuwa zinakata Kila ukimtazama Kwa Luninga 🙌

Kweli wakati Ukuta, Ngoja niendelee kuvuta Kiko yangu hapa 🥱
 
Back
Top Bottom