Afadhali…
Leo naona nitalipwa madeni yangu
Ka oficial dress kametulia
Kuajiriwa ni kugumu basi tu, tena uwe na kazi zile zinazotaka weekly, monthly na qouters report utaona maisha magumu![]()
Asbh uwaze kutoka kitandani mpk ujiandae ufike ofisini, ukifika unawaza breakfast na lunch time. Ukishashiba unawaza muda ufike uondoke![]()
Ikifika alhamis unashusha pumzi, at least week iko ukingoni.
Waliojiajiri nao wana malalamiko yao mengi sana , ni vile tu hatujawasikia.
Baki hukohuko nkamu 🤣🤣🤣Thank you Nkamu….basi nipambane tu na kuajiriwa ingawa kuamka asubuhi daah huwa natamani kulia![]()
Mimi sio mfuasi wa mashetani wala hao livakuku 🚶🏻♀️🚶🏻♀️Ulianza vizuri ila hapo mwisho ndiyo umeharibu😢
Usiwape kichwa Mashetani bhana
HalwaHuwa tunavumilia mengi sana ila sio Kuibiwa Mke lakini![]()

Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.
Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.
Mungu akusimamie uje ufanikiwe upate ajira au ufanikiwe kwenye biashara zakoNkamu wewe siyo wa kunihujumu![]()
Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.
Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.
Ila mashabiki wa Arsenal wanavutia.. wako na zile physical appearances safi kabisa.
Ni kama vile asilimia kadhaa ya ma gents na ma beautiful ladies walienda Arsenal
Source: rafiki zangu na ndugu zangu






eeeeh ndyoooooo yaan, afu wana Yale magonjwa nyemelezi, afu wana pesa ndefu. Nasema sitokii nasubiri sekfie matata ya boss wangu



angalia usije subiri kama tunavyomsubiri Masiha hatujui atarudi liniHapo umenifurahisha, haya nitumie namba ya MPesa nikutumie hela ya Bia 5Mimi sio mfuasi wa mashetani wala hao livakuku 🚶🏻♀️🚶🏻♀️
Niko zangu Arsenal kwa mahendsam boys 🤒
Haya naomba zawadi 🤸🏻♀️
Leo sijavaa Miwani yangu lakini nimeweza kuona Pisi Kali.
JF is blessed![]()
Ndiioooo wangoni hoooyeeeee








Usianze tafazali 😹eeeeh ndyoooooo yaan, afu wana Yale magonjwa nyemelezi, afu wana pesa ndefu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
VVD huyuWakati huo akina VVD watakuwa wapi kumkaba![]()


Nyie msipokaa sawa mechi zote zinazofata mtapoteza kama siyo kudrawtukutane mwisho wa msimu, tusianze mbwembwe nyingi, macho yatathibitisha.
Tusubiri kuona.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Ukiona hadi Kizee miye nimeweza kuona bila miwani ujue you are on fire 🔥🔥🔥🔥mwee mwee
Pa kunipata unapajua 🚶🏻♀️Hapo umenifurahisha, haya nitumie namba ya MPesa nikutumie hela ya Bia 5