Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afadhali…
Leo naona nitalipwa madeni yangu

Ka oficial dress kametulia

Kuajiriwa ni kugumu basi tu, tena uwe na kazi zile zinazotaka weekly, monthly na qouters report utaona maisha magumu

Asbh uwaze kutoka kitandani mpk ujiandae ufike ofisini, ukifika unawaza breakfast na lunch time. Ukishashiba unawaza muda ufike uondoke

Ikifika alhamis unashusha pumzi, at least week iko ukingoni.

Waliojiajiri nao wana malalamiko yao mengi sana , ni vile tu hatujawasikia.

Sema mimi ugumu nauona asubuhi tu kwenye kuamka ..!

Yes kila kitu kina changamoto yake ni kupambana tu, ukikaa na waliojiajiri wanakuambia bora kuajiriwa.
 
Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.


Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.

Nkamu umeongea kwa hisia Mungu akusimamie uje ufanikiwe upate ajira au ufanikiwe kwenye biashara zako

Sawa Nkamu
 
Yan wewe na hayo mabarafu
Mungu anakuona
We tudhihaki tu sisi wauza barafu Taifa 😁
Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.


Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.
 
Ila mashabiki wa Arsenal wanavutia.. wako na zile physical appearances safi kabisa.

Ni kama vile asilimia kadhaa ya ma gents na ma beautiful ladies walienda Arsenal

Source: rafiki zangu na ndugu zangu
eeeeh ndyoooooo yaan, afu wana Yale magonjwa nyemelezi, afu wana pesa ndefu.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom