Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Dah boss ledi unapishana na picha yangu🤦nikiweka unaondoka.So much disappointed!!🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴 Umegoma kuselfika Sura yako!!!
Ngoja nirudie tena
Dah boss ledi unapishana na picha yangu🤦nikiweka unaondoka.So much disappointed!!🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴 Umegoma kuselfika Sura yako!!!
Naona unajiangalia kwenye kioo mwenyewe!! ila umegoma kugeuka!Dah boss ledi unapishana na picha yangu🤦nikiweka unaondoka.
Ngoja nirudie tena
View attachment 2153265
View attachment 2153266
Full tabasamuuii😘😘😜😜😜♥️Dah boss ledi unapishana na picha yangu🤦nikiweka unaondoka.
Ngoja nirudie tena
View attachment 2153265
View attachment 2153266
Anawashwa washwaa acha nijipange nichukue steel wire nikamsuguee aache kurukia vita ya ukraine atapusuka






tobaaaah lolDogo uje nikuombee au hapo hapo ulipo upige magoti Kama upo hostel hapo nakuja Sasa hivi






mbavu cna hapa khaaah. Ndio uzuri wako boss ledi ukianza kuporomosha picha unaziporomosha nonstop
Hapa tunasubiri uporomoshe nyingine
Ona khanga ilivyokukaa sasa boss lediii
Shepu inaeleweka ,haina utukunyema...
![]()





Inabidi sasa uanze kuishi kiboss gentleman
Tupia vocha humu kama boss ledi wetu anavyofanya.
Hakika nitaanza rasmi ile kazi ya kuwasifia![]()









Maskiniiii
Mbona mfa maji sasa?
Haya kunywa maji ipoe, poza engine ilo maana limepiga mileage ya kutosha. And next time stop putting too much seriousness on joke stuffs
Pyeeeeee
Muone
Ati nimerukia vita, wakati wewe ndiyo uliibukia comment yangu.
Emu nipishe niende zangu![]()








mie hapa niko hoi kwaa kucheka lol. Ujue mimi nikikusema utalia??
Haya..
Hurry up…
Stop trying me.






watu na maneno yao, weuweeeeehTuanzishe vita ya mimi na weweunaishi kwenye nyumba ya vioo alafu unamzingua mtoto wa mbwaaa mbona utapaa hapa
![]()







khaaaaahAhsanteni kwa kunisaidia muda kupotea
Finally it’s 1700
Nikanyonyeshe watoto sasa
D was here![]()











Leo unaaga hivi hivi kavu kavu?Usiku mwema wana selfika!!![]()





Huwa unanichekesha sana ndugu yangu kokastiki![]()






uwage na adabu wee mtu.



Chekini lips jamani
Boss ledii una poziiii
Ngoja nichukue darsa hapa
Yaani bos ledi ujue nachukua samare taratibu haya mapozi naenda kuyajaribu Kwa Shem wako
Wewe ni mtu na nusu aiseee...mbali na kutuburudisha unatupa darasa pia
Boss ledii juuu![]()








Jamani Lizy
Au nikikuwa nitajua??
Nimepata picha plate nayokulaga mie
Nimejiona naingia kwenye list ya mafundi…






