Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wew dogo acha ujinga kwahyo mtu Kama hua Hali maeneo ya uswahilini Sana haruhusiwi kupost
Kwanza umeeleww nn nachomaanisha? Au ndo umekurupuka? Nliwahi sema hili kabla? Siwezi Kuficha kuna comments kaziweka hapa ktk kujibu au kusimamia anachokiamini, ila hakupaswa kuziweka vile,

Kuhusu hilo la uswahilini au ushuani, ilikua ni mawazo yangu ile siku pindi alipomuuliza yule member, kwan sikuwahi ona km ana tabia za watu wa huko, sasa leo ndo nimegundua ktk baadhi ya comments zake, na hiyo siku aliulizwa ilikua ktk mabishano ya hoja.

Nwei pambaneni nyie mnaoijua dini, sie wengine hata hatuna mda nayo achilia kuijua na kuifata.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Too much usasa nao ni ulimbukeni tu linapokuja suala la maadili kidini, hata kimaadili ya ktz tu ukiweka usasa mwingi wananchi tutakushangaa kidogo.

Umagharibi usitujae vichwani tukaanza kushangaa wengine na mitizamo yao.

Mimi Monday to Friday , frm 0730 to 1700 naspend sana muda na Walokole. Nawajua kwa kiasi, siwezi mshangaa SA anavyoshangaa pombe wala short clothes’ hapa ni zile zilizojuu ya magoti.

Hapa mnashupaza shingo sababu ni mnatype tu, I’m sure hamuwezi ruhusu watoto wenu wavae sket iko katikati ya mapaja na mkayafurahia.

Keyboard warrior.. I rest my case
Tchao
Ukweli lazima usemwe, unafiki watu wa humu umewajaa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Unadaiwa ee 🚶🏻‍♀️
Umekalili eeh! karibu pasi tupoze njaaa badae upewe kitu
IMG_20220316_163643.jpg
 
Unataka kunifundisha cha kuandika au nikupe ID uandike unavyotaka .. alafu hii ni chirt chart ukija serious unaumiza kichwaaa .. hakuna mjadala serious hapa.. kama unashapaza hadi kichwa shauliyako.. mie toka asubuhi nime chili kitandani kaja wa kumpumzikia nime mpumzikia badae natoka hapa yanaishia hapa
ndyo ndyooooooooo

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom