Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
HayakuhusuYatawashinda
HayakuhusuYatawashinda
Halafu Kwa hasira unazing'oa😀Juu ya mboga![]()
Eti eeh?Hayakuhusu
Shem leo nilikua kwenye mkutano wa chama kule Itope kama unaelekea talatala karibia KajunjumeleIgweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee. Karibu shem wa moyo
Of courseNa Mimi siku Moja napiga picha hivi na kijana wangu 🥰❤️❤️
Ma nini hayo...Yatawashinda
UmeanzaShem leo nilikua kwenye mkutano wa chama kule Itope kama unaelekea talatala karibia Kajunjumele
Vijana wa hovyo hovyo kutoka Ileje walileta fujo tukalazimika kumaliza kabla ya muda
Yote kwa yote ubarikiwe sana shem dada.
Hello x 6
View attachment 2153123
Mwambie huyoMa nini hayo...
Ma vakesheni?
Unasema uongo ndugu yangu
Ma vakesheni hayawezi tushinda
Of course
Lazima twente twente siksi upige picha na kijana wetu AtuAnne MwakaPep







Mambo yalibadilika ujuaji mwingi ikabaki storiSema ulikula bata mwanangu.
Ila ndio vizuri bwana kuzaa mapema..
Usiniambie umekuwa mbinafsi kiasi hicho na kuamua kuwa singo baba🥲
Mbona yule dada hana tatizo.
Inshallah 😇😇Na Mimi siku Moja napiga picha hivi na kijana wangu 🥰❤️❤️
Ama tumwiteje kijana wetu mwenye damu ya kimbarali? hizi suggestions hapa;-
HS hebu chukua mtu wako![]()
DahMambo yalibadilika ujuaji mwingi ikabaki stori

ukamchanganyia na stori za mwamposa(kidding)Dah
Umezingua sana mwanangu
Isije ikawa ulizidisha pombe aiseeeukamchanganyia na stori za mwamposa(kidding)


hamna bwana pombe kwa kiasi Kama maandiko yanavotaka ule usomi usomi Mara kazi bank wale wahuni wanaochomekea bank wakanizidi swaga Mimi mshamba wa isimaniWapi hii