Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Ustaadhat karibu iringa tuanzishe familia Niko tayar kuitwa abdulrahman kwaajili yako
Ustaadhat karibu iringa tuanzishe familia Niko tayar kuitwa abdulrahman kwaajili yako
😬😬Daaah ningepewa tenda hii
Sasa pm tutakuonaje ulivyo boss???Mtumishi hamna kazi hapo tusidanganyane ukiishiwa vocha leta bill Pm fullstop

Dah!Ustaadhat karibu iringa tuanzishe familia Niko tayar kuitwa abdulrahman kwaajili yako





Asante mpendwa ni mke tayari na ni mama wa watoto 3 kwa sasaUstaadhat karibu iringa tuanzishe familia Niko tayar kuitwa abdulrahman kwaajili yako
Ntakukumbusha Mimi mwenyewe
Yes pale MiamiLockdown, Secreto na kule juu kitanzini panahappen kuanzia alhamisi.
Naisubiri yako mpendwa wangu🥰❤️Asante sana mpendwa. Angalau leo nimekuona laivu uwii. Nitaendelea kuzeeka vizuri sasa. Ubarikiwe sana mpendwa
![]()
Faza wangu vipi unataka uanze kunibania mtotoDah!![]()
Vijana bwana. MkuuDah!![]()
Wewe mbona hujiamini wakati Isyesye ndio kwa kishua mbeya nzimaShida inaanza Mimi sio boss hapo Sasa kwettu isyesye![]()
Umefuraaahi

Nilisahau sio isyesye Ni isangaWewe mbona hujiamini wakati Isyesye ndio kwa kishua mbeya nzima

Huo huoNajiwekaje Sasa au kutupia vocha hapa za buku buku ndio uboss![]()

Yangu si unayo mpendwa? Nilipoweka hapa ulilaiki.Naisubiri yako mpendwa wangu![]()
Sasa muwe mnafuta tukionaNajiamini sana tu
Sipendi tu ikae muda mrefu

Iringa imekaa kikoloni koloniNgoja tumsubiri. Kule juu ulisema uko Dodoma. Najua anajua uko Dodoma. Na yeye Dodoma huwa anapakana vibaya mno.![]()

Ndiyo maana aiseeMsomali kwa baba mzigua kwa Mama





