Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hahahaaa
Dah boss lediii🙆Thubutuuuuu! Niliifuta palepale nikairemuvu pamanentli hadi kwenye trash
Wewe siyo wa kutufanyia hivi🤦
Kuna namna itakuwa imebaki kwenye trash,iangalie basi🥰
Hahahaaa
Dah boss lediii🙆Thubutuuuuu! Niliifuta palepale nikairemuvu pamanentli hadi kwenye trash
Unashangaa tu sijui mzigua,msomali na picha imekupita😂Jidanganye
Ushaanza kumjaza upepoUnashangaa tu sijui mzigua,msomali na picha imekupita![]()
Au unakuta kapo kulima mbogamboga za jumla kule kawetere.weeeeeee
Nampa taarifa tu ajenge urafiki na mimi huenda nikamhadithia ile pichaUshaanza kumjaza upepo
Ndugu mwandishi itoshe tu kusema kwanza atatafuna hizo mboga mbichi kwanza kabla ya maongezi yyte kuendeleaAu unakuta kapo kulima mbogamboga za jumla kule kawetere.
Ndio kapo kuuza jumla...
Wewe kama bill tuambie ni namna gani utang'oa hizo mboga?![]()
Miaka kadhaa nyumaKwanini usiende kulala hostel za mission
sijui bado kapo


Umefika na range pale;Ndugu mwandishi itoshe tu kusema kwanza atatafuna hizo mboga mbichi kwanza kabla ya maongezi yyte kuendelea
Sio rahisiHahaaaaaa. Ya duniani utayaacha. Rudi njia kuu mapema Sana.

Miaka kadhaa nyuma
Nilipata deiwaka lushoto
Tukafikia pale kwa masista
Uzuri pale lager zipo tatizo maua hakuna
Ikabidi niingie town hapo, eeh bhana kuna ka lodge kanaitwa white house kana vibe kama lotesijui bado kapo
Itoshe kusema kule sikurudi tena hadi naondoka lushoto




Najitoaga ufahamu kwenye selfii tu kwenye video sina Huo ujinga uwiiii!! Hata bosiii mwenyewe siwezi mpa video Imagine bosi anilisha anivisha sembuse wapambe Weeeehh!!Dah boss lediii🙆
Wewe siyo wa kutufanyia hivi🤦
Kuna namna itakuwa imebaki kwenye trash,iangalie basi🥰
Mweee😂😂😂😂😂Najitoaga ufahamu kwenye selfii tu kwenye video sina Huo ujinga uwiiii!! Hata bosiii mwenyewe siwezi mpa video sembuse wapambe Weeeehh!!
Juu ya mbogaUmefika na range pale;
Haya tuambie,utaipaki wapi?
Katikati ya mboga,juu ya mboga au pembeni?


Huwa unanichekesha sana ndugu yangu kokastiki 🤣🤣🤣
Sema ulikula bata mwanangu.Saint Anne saivi ukikaona kabinti ka ujana wangu aisee nimekua single baba bila kupenda kanaishi na bibiView attachment 2153106
YatawashindaIgweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee. Karibu shem wa moyo
Chekini lips jamani🥰🥰🥰🥰🥰Wee Mshindwe!! Bosi Ndio video shooter mwenyewe si unaona hata namuonea aibu!
View attachment 2153118
Na Mimi siku Moja napiga picha hivi na kijana wangu 🥰❤️❤️