Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Abeeeeee boss😀😀😀😀 ngoja watu wapotee niweke ka video mtoto ana cheza
Abeeeeee boss😀😀😀😀 ngoja watu wapotee niweke ka video mtoto ana cheza
Nikimaliza mizunguko yangu ntakuselfikiaNimekuja kukuona Heaven Sent
Mkurugenzi naomba nikusaidie kubeba huo mzigo tafadhali

ni mzigo wa makaratasi tu huu.cocastic hujapita hapa? (Ole wako utoe maneno yako yale sasa)

Rangii hii mkuu!. Kuwa makini unaweza kujikuta umelima miwa karibu na shule ya msingi. Nyuma yupoje hihiiii!!


Endekeza tuSt Anne ni kichomi


HovyooLitawekwa Pale Uyole njiapanda ya Dar,Tukuyu na Tunduma
Watu wote wajue kuwa Pep ni mwanaume na nusu.

Kazi ya kusifia


Nifanyie hisaniEh dear
Thank you japo hamna paja hapo kabisa
Watu wana mapajaa yao kama kina boss lady hapo .

Kwa ujuzi wangu wa kula ugali, huo ugali una mabunye na haujapikwa sawasawa. Usipoangalia tumbo litakusumbua tu!Nimekula sahani mbili za Mtakatifu Anne na zingine tatu za Lizzy kwenye sahani moja
View attachment 2151797


Huu ugaliKwa ujuzi wangu wa kula ugali, huo ugali una mabunye na haujapikwa sawasawa. Usipoangalia tumbo litakusumbua tu!![]()


Kwa ujuzi wangu wa kula ugali, huo ugali una mabunye na haujapikwa sawasawa. Usipoangalia tumbo litakusumbua tu!![]()
Mwache asifie tuNifanyie hisani
Coca anakusifia vipi
Naelewa utatenda
