cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,182
Haya naomba nione hapa shouzzz hiyo picha.Niwe nalo nitambe!![]()
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Haya naomba nione hapa shouzzz hiyo picha.Niwe nalo nitambe!![]()
Tatizo lako huamini mdogo wangu.wee acha zako bhana, pesa zipo wee suka tyuuh.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahahaaa..kumbe umeiwahi!!Mpaka hapa tayari nna umbo kamili







Kipindi hicho unakula kama binadamu mwingine wa kawaida 🙂#tbt #zanzibar #2017View attachment 2151658
Mwweeh!Hufai

Nilijua tu na guu la bia analoMadam na guu la bia![]()




Nilikua tu na guu la bia analo
Huyu ni mtu na nusu
Najua atairudia picha nisifie na guu lake la bia..boss ledi ni msikivu sana.







Tatizo lako huamini mdogo wangu.
Fanya 50,000 tsh inene nami tafadhali





nimecheka badala ya kulia wallah, nwei sawa tyuuh. 


Waukweee! Umenoga sanaaa
Ooh thank you dearWaukweee! Umenoga sanaaa

Eh dear



Una rangi nzuri from head to toe .Niliweka hio!View attachment 2151680