Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ndio maana nimesema kisayansi.. ila kama damu ya generation ipo safi mbona poa tu.. maana pia wapo wasio kuwa na hiyo shidaaa.. Ibrahim mwenyewe alimtuma msaidizi wake kumchukulia Isaka mke kwenye nyumba ya ndugu zake.. ina advantages na disadvantage.. For me haina shida ndugu kuoana. na sio dhambi pia biblicalNa wanazaa matahira Sana sababu ya inbreeding. Sema wanawaficha.











