Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ndio maana nikasema ni tabia ya mtu na mtu kuna wapenda zawadi kuna wapenda hela kuna wapenda sex kila mmona ana tabia yake .. mkuu unatuma hela eeh! Hongera 😀😀😀Mimi niliokutana nao wengi wanapenda zaidi kupewa na mwanaume. Na wengine wanapenda vitu sio Hela.
Kuna mmoja nilimtumia Hela ya sikukuu anunue nguo akaniambia anajiskia raha nikimnunulia nguo kuliko kumpa Hela. Ni tabia ya kike, unajua twapaswa kuwatunza.














