Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😔😔😔😔We mtoto hebu wacha kunizibia riziki huko hutaki dada yako nikapande mavieite na marange rover![]()
Kaka acha kusikitika mtoe dada kiroho Safi aje nyanda za juu kusini
Siku nikibahatisha picha yako.....Ndiyoooo
Vitu vyenye pesa ndefu. Ndio maana mtoto mdogo unaongelea ma Cayenne, ma Maybach!!
😁😁😁 LoveluckyKaka acha kusikitika mtoe dada kiroho Safi aje nyanda za juu kusini
Hahaaaaaa watoto wazuri kuwa na mmoja tu anatosha. Inabidi unifundishe mkuu. Vile vitabu nimevipitia sielewi elewi... na watoto wazuri eeeh.. yanatapika hela sana haya madubwasha
Nimpate wapi "mtoto" mwenye busara, hekima, utulivu, unyenyekevu, hofu ya Mungu kama Huyu Saint Anne
Asante mamyAliyekuchora henna ni fundi aswaa umependeza na rangi ya mtume😍
😁😁😁 kamojaa eeh safi kabisa mtaalamuHahaaaaaa watoto wazuri kuwa na mmoja tu anatosha.
mmoja eeeh 😬😬😬😬Hahaaaaaa watoto wazuri kuwa na mmoja tu anatosha. Inabidi unifundishe mkuu. Vile vitabu nimevipitia sielewi elewi.
NaombaKumekucha
View attachment 2151164
Ingawa Kuna mechi za away, pindi unaposafiri mkoanikamojaa eeh safi kabisa mtaalamu
Vitabu vizuri sana vile mkuu kwa kujenga concept school ni dailyHahaaaaaa watoto wazuri kuwa na mmoja tu anatosha. Inabidi unifundishe mkuu. Vile vitabu nimevipitia sielewi elewi.
Upo serious!
😀😀😀 mtanzani mkuu.. si tunawapa maujanja wanakuwa kama mbeleUpo serious!
Mbona kama sio mtz?
Rangii hii mkuu!. Kuwa makini unaweza kujikuta umelima miwa karibu na shule ya msingi. Nyuma yupoje hihiiii!!mtanzani mkuu.. si tunawapa maujanja wanakuwa kama mbele