Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mi ni nani nibishe
Kabisa
Ongeza ugali boss,huo kidogo mno hata Mimi sishibi
giphy.gif
 
Huu ugali

Ulianza uji

Hivi ugali kama huo nakulaje
Hata kwa kuuangalia tu hauko sawa. Kwa sisi wazee wa Kisukuma huu wala hatuugusi tunaamru tu upikwe mwingine tena na mpishi tofauti...

Nilipompeleka waifu Usukumani rasmi kwa mara ya kwanza mwaka 1962 nilimchomea kwa mawifi zake wakamsakizia eti kupika ugali weee! Sijui alipika nini yaani lakini wazee walicheka mpaka wakagaragara chini wakampiga na faini ya kuwanunulia tumbaku. Tangu siku hiyo kazi yake kubwa ikawa ni kufagia fagia uwanja na kuosha osha vyombo na madogo basi. Ila sasa alipogundua kuwa miye ndo nilimchonjea kwa mawifi zake ule msala, nilinuniwa karibia wiki mbili nzima tulizokaa kule dah!

#SweetMemories
 
Hata kwa kuuangalia tu hauko sawa. Kwa sisi wazee wa Kisukuma huu wala hatuugusi tunaamru tu upikwe mwingine tena na mpishi tofauti...

Nilipompeleka waifu Usukumani rasmi kwa mara ya kwanza mwaka 1962 nilimchomea kwa mawifi zake wakamsakizia eti kupika ugali weee! Sijui alipika nini yaani lakini wazee walicheka mpaka wakagaragara chini wakampiga na faini ya kuwanunulia tumbaku. Tangu siku hiyo kazi yake kubwa ikawa ni kufagia fagia uwanja na kuosha osha vyombo na madogo basi. Ila sasa alipogundua kuwa miye ndo nilimchonjea kwa mawifi zake ule msala, nilinuniwa karibia wiki mbili nzima tulizokaa kule dah!

#SweetMemories
 
Back
Top Bottom