Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmh.



Chaaaa!
We mtoto wa juzi unaongea mambo nisiyoyajua
Watoto wamekwisha!
cc acha dharau bas, mie mtoto kweli? Km naweza kumbeba kifuani mtu mzima mwenye meno 32 yote, na akatoa maneno na lugha 27 ambazo anapaswa kunena akiwa kifuani kwa mtu, huo utoto wangu uko wapi?

Dunia imefunguliwa sahivi, mambo kidigitali, wee chelewa hivyo hivyo

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
FB_IMG_1647233339934.jpg
 
Back
Top Bottom