cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Ndio
Nishatupa nyavu





usinivunjie heshima hapa. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndio
Nishatupa nyavu





usinivunjie heshima hapa. Ni hapohapo mjini kati. Hospital ya Ahmadiyya unaifahamu?Sijawahi kufika huko
Naomba unielekeze unapanda gari za wapi

Ooh yeah napafahamu ilipo hiyo hospital .Ni hapohapo mjini kati. Hospital ya Ahmadiyya unaifahamu?
@Mideko unachonifanyia mungu anakuona ujue
Unalike post za 2019 huko jamani!!View attachment 2150011









Nimempga chini Kakabrother.....where is bill??
Sasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.Ooh yeah napafahamu ilipo hiyo hospital .
Sema sipendi huduma zao bora uende Aga khan ukae foleni ujue moja .
Sasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.
Nimepakukumbka Coco beach, woiiiiiihSasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.
Eeh ukifika tu hapo Coco, nyuma utaona bango la HappieHapo Coco Beach nimefika ndio ..Sema sikuwa napafahamu vizuri .
Ooh thank you nimepajua kiasi ..
Ooh haya nilipita maeneo hayo kabisaEeh ukifika tu hapo Coco, nyuma utaona bango la Happie
moro townSasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.
Watoto wa siku hizi aiseee!!@Saint Anne haya njoo hapa cc eleza ukweli wako wee hujui nn maana ya, mzagamuo?
Yaan wee huyu usijue hili? Wee hapo? Kabisaaaa? Hebu njoo ujibu kwan hapa.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wala!Ulisomea marketing mdogo angu?
Dadeq kumbe nakufa tu njaa mtaani huku