Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooh yeah napafahamu ilipo hiyo hospital .
Sema sipendi huduma zao bora uende Aga khan ukae foleni ujue moja .
Sasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.
 
Sasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.

Hapo Coco Beach nimefika ndio ..Sema sikuwa napafahamu vizuri .
Ooh thank you nimepajua kiasi ..
 
Sasa tembea kutoka Ahmadiyya kama unaelekea kwenye maduka ya Vitambaa kwa Mpemba au ofisi za Abood. Ukimaliza huo msururu wa fremu kuna hiyo Coco beach restaurant, zunguka nyuma sasa. Ni kabla hujafika maduka ya Vitambaa kwa Mpemba.
Nimepakukumbka Coco beach, woiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
20220314_132315.jpg
20220314_132331.jpg
 
@Saint Anne haya njoo hapa cc eleza ukweli wako wee hujui nn maana ya, mzagamuo?
Yaan wee huyu usijue hili? Wee hapo? Kabisaaaa? Hebu njoo ujibu kwan hapa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Watoto wa siku hizi aiseee!!
Mbona mnakua kabla ya wakati wenu.
Sisi wa huku Ileje ndanindani tunategemea kujifunza hayo mbele ya safari
 
Back
Top Bottom