Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ww binti hiki chakula unashiba kweli!?
Mbona sina imani na hao malaika wako? ๐๐๐๐ Fanya kuniunganisha nao niwacheki kama wako legit ๐ง๐ง๐๐ Malaika wenyewe ninao hapa.. wanasema ilikuwa mistake kuwepo hapa.. wewe ni female angel.. sema mabawa yako hayaonekani kwa macho ya kawaida...
uzuri mashabiki ndio wanajua kiwango cha mchezaji ๐๐๐.. hakuna cha uongo kwa mkuu Fortnox .. usiamishe magori basi โบ๏ธโบ๏ธ
๐๐ na mie nimefurahii.. maana kumfurahisha female angel kama wewe ni baraka tele.. najua milango ya baraka imeisha nifungukia ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธThanks for the laugh 9.8ms squared ๐๐
Umefanya safari yangu ya kurudi home iwe fupi sana ๐ค
View attachment 2150233
Hiki naongezea tu....nshakula sahani tele ๐Ww binti hiki chakula unashiba kweli!?
ama unaleta michezo!
Mkuu umekaribia kushikwa!cocastic KENZY Mjep part two โ๏ธโ๏ธ
nakula mdogo mdogo huku namsubiri mwenye tatoo yake mguuni.. ka firstyear ๐๐๐๐๐ kaje kuchukua CA yake
View attachment 2150229
Mkuu Kuna mtu anafatilia anga zangu vipi zile siraha pumuzi bado unazo..?
Aisee



๐๐๐๐ nipo namsubiri dent huku nakula almond na maji mdogo mdogoMkuu umekaribia kushikwa!
We niwa mkoani tunajua unakulaga mpaka unakosa pa kupumulia..๐Aisee
Kuna watu wanasemaga nakula kidogo, waje kuona huu ugali,![]()
๐๐๐๐ nipo namsubiri dent huku nakula almond na maji mdogo mdogoView attachment 2150263
Leo twakudaba ugoni..๐๐๐๐๐ nipo namsubiri dent huku nakula almond na maji mdogo mdogoView attachment 2150263
Mchuano kati ya wewe na mwenzako ni mkali sanaAisee
Kuna watu wanasemaga nakula kidogo, waje kuona huu ugali,![]()
hv hii n serious au unaumwa???
Wee siwezi kula kaugali kadogo hivyoMchuano kati ya wewe na mwenzako ni mkali sana








๐๐โบAisee
Kuna watu wanasemaga nakula kidogo, waje kuona huu ugali,![]()