Acha tu uwe na mwili wa hivyo dada..

.Irudiwe kupostiwaacha kujidanganya emu
Alafu hii Tabia ya kuweka na kufuta kabla sijaona sipendiiii..mpigwe ban wote mnaofanya hivyoHii sura nimewahi kuiyona mahali ila sikumbuki ni wapi yaani kumbukumbu zinakuja zinapotea serious![]()

Una swali@Ntuyadili ?
Ukweni kwangu huko,,, hebu msipakosee adabu
Hapana Mkuu. Niko vizuri.Una swali@Ntuyadili ?
karibu katerero, kanazi, mugaza, ibwera....Hapana Mkuu. Niko vizuri.
Mic u moaaah shouzzzzTupo pamoja shos! Wee subiri utafurahi mwenyewe mbona!




Yaan wee acha tyuuh lol.Wapenda app tunateseka sana hasa nyakati za usiku ..
App inakuwa down .




Mlo kamili in every sense of the word 🙂Hii ni starter au ni chakula kamili....?
Post uombe na michango...ikipatikana tugawane.🙂Mkuu nitoe hilo ua hapo usoni au nikupost fesibuku hvohvo kuwa umepotea..😀..
Au mambo yako nikuachie mwenyewe..
Kipara ngotoWeuweeee
Ona sasa huyu ndio boss lediiiiiiiiiii
Ngoja nimtunzie na Pep amuone Shem wake![]()


Mara hii ushaanza kuleta hivi vibonzo blaza!! Anniversary ya 60yrz utafika umechoka kinyama







khaaaahHeavy meals wakati mwingine ni muhimu, hakuna namna😆😆😆Acha tu uwe na mwili wa hivyo dada..
Wengine hapa tushakula heavy meal na kapepsi ..kupunguza uzito ni safari ndefu.