Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,333
juzi nusu nidondoke ma mchungaji!!Wala ukitaka utaweza tu; mdogo mdogo
juzi nusu nidondoke ma mchungaji!!Wala ukitaka utaweza tu; mdogo mdogo
😂😂😂😂🤣🤣🤣Khaaajuzi nusu nidondoke ma mchungaji!!
Mambo ya kuwapa kipochi manyoya watoto😅
Sitaki😎Njoo tuzurure dokta 🤣🤣View attachment 2145992
Malizia Tu mkuu...mapigo ya...Hahaha.....umejikana siyo?
Za mimi njema/salama kabisa mzee wa mapigo ya.......
Daah sawa mamaMbane uone kama nakudanganya.
Nope itakuwa kali ya mwaka; not necessarily mwisho wa mwaka


Pole dearUsicheke dia nilitia huruma hakiii halafu kisigino hakikuwa kirefu kiivo na kilikua kinene tu ila ushamba wangu tu vikanishinda! Imagine kingekua kisigino chembamba si ndio ningegalagala mpaka!!
View attachment 2145996
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️ 🤸🤸🤸🤸🤸 ukimuona msalimie sana asee!!!!!Pole dear
Shape kama lote..braza 11 alikua anafaidi...😍😍😘😘😘😘
Hii sura nimewahi kuiyona mahali ila sikumbuki ni wapi yaani kumbukumbu zinakuja zinapotea serious 🤔
🤣🤣🤣😀 acha kujidanganya emuHii sura nimewahi kuiyona mahali ila sikumbuki ni wapi yaani kumbukumbu zinakuja zonal ata serious 🤔
😂😂kweli tena inaonekana si mara moja kukutana nayo ngoja nikitulia nyumbani nivute kumbukumbu zangu vizuri🤣🤣🤣😀 acha kujidanganya emu
😀😀😀 ukishindwa nitakuondolea na emoj 💃💃😂😂kweli tena inaonekana si mara moja kukutana nayo ngoja nikitulia nyumbani nivute kumbukumbu zangu vizuri
Kweli Anne sijaona komwe la Baba hapo.Na kichwa kinachangia
Boss ledi anakichwa kizuri.
Kwani kuna habari gani? 😄
Una vituko sana 🤣Unamfaa sana dia !! umenona afu unavutia pia! pia unaonekana mwepesi kabisa na mambo unayaweza ukimvalia heels ukampandia kwa juuu wauuweeeeeeehhh 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸! 🤣🤣🤣😘😘😘♥️!! Huo mzagamuo wake siupatii picha... yeah mzagamuo in cocastic voice 🤣🤣😂😜😘😘😘🤩
Hii komenti imeninyegesha.Have a good evening bosslady.Unamfaa sana dia !! umenona afu unavutia pia! pia unaonekana mwepesi kabisa na mambo unayaweza ukimvalia heels ukampandia kwa juuu wauuweeeeeeehhh 🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸! 🤣🤣🤣😘😘😘♥️!! Huo mzagamuo wake siupatii picha... yeah mzagamuo in cocastic voice 🤣🤣😂😜😘😘😘🤩
Bado mtoto ananyonya😀Best hair style ever
Short hair for nachuro only 🤣 Lenie
Niambie basi nitupe kale kawigi 🤣maana naona kanataka nizoea, naweza lala najiambia kesho nachana. Kesho ikifika nashtuka niko ofisini tayari na kiota
View attachment 2146008
Nitumie kwa BM kesho mapema plsss, na saivi kusuka uvivuuuBest hair style ever
Short hair for nachuro only 🤣 Lenie
Niambie basi nitupe kale kawigi 🤣maana naona kanataka nizoea, naweza lala najiambia kesho nachana. Kesho ikifika nashtuka niko ofisini tayari na kiota
View attachment 2146008